• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

DC LUDIGIJA APOKEA MADAWATI 353 KUTOKA KCA NA DORIS MOLLEL FOUNDATION

Posted on: March 1st, 2026

Mkuu wa Wilaya ya Kwimba, Mhe. Ng’wilabuzu Ludigija amepokea jumla ya madawati 353, viti 3 vya kutembelea watoto wenye ulemavu, mipira 50 pamoja na tanki la kuhifadhia maji kutoka Doris Mollel Foundation pamoja na KCA kwaajili ya shule ya msingi Kakora yakilenga kuboresha mazingira ya kujifunzia kwa wanafunzi katika shule hiyo.


Akizungumza wakati wa hafla ya makabidhiano hayo Februari 28,2026, Mhe. Ludigija ametoa shukrani za dhati kwa taasisi hizo kwa moyo wa kujitolea na kuona umuhimu wa kuwekeza katika sekta ya elimu.


Amesema upatikanaji wa madawati na vifaa vingine utasaidia kupunguza changamoto kwa wanafunzi hivyo kuongeza ari ya kujifunza.

“Napenda kuishukuru sana Doris Mollel Foundation na KCA kwa msaada huu mkubwa wa madawati 353 pamoja na vifaa vingine Hii ni hatua muhimu katika kuboresha mazingira ya kujifunzia kwa watoto wetu na kuongeza ufaulu wao kitaaluma,” alisema Mhe. Ludigija.


Aidha, ametoa wito kwa wadau wengine wa maendeleo kuendelea kushirikiana na Serikali katika kuboresha miundombinu ya elimu, akisisitiza kuwa jukumu la kuijenga jamii ni la pamoja.


Kwa upande wake, mwakilishi wa Doris Mollel Foundation Bi.Doris Mollel amesema kuwa taasisi hiyo itaendelea kushirikiana na Serikali katika kusaidia sekta za kijamii ikiwemo elimu na afya, ili kuhakikisha watoto wanapata fursa bora ya kufikia ndoto zao.


Wananchi pamoja na walimu wameshukuru msaada huo ambao utaleta mabadiliko chanya katika shule hiyo na utaongeza na kuwa chachu kwa wanafunzi kupenda masomo.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA 2025 KWIMBA November 05, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TANGAZO LA KITWA KWENYE USAILI October 14, 2025
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • MILIONI 246 YATOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU

    March 03, 2026
  • DC LUDIGIJA APOKEA MADAWATI 353 KUTOKA KCA NA DORIS MOLLEL FOUNDATION

    March 01, 2026
  • JANABI AZINDUA JENGO LA WATOTO NJITI

    April 28, 2026
  • WAZIRI KAPINGA AKEMEA WANAOTOROSHA CHOROKO

    February 25, 2026
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.