• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

MILIONI 246 YATOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU

Posted on: March 3rd, 2026


Mkuu wa Wilaya ya Kwimba Mhe. Ng'wilabuzu Ludigija amekabidhi milioni 246 kwa vikundi 11 vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu.

Ludigija amesisitiza kuwa lengo la Serikali ni kuona mikopo hii inabadirisha maisha yao kiuchumi kwa kutumia fedha hizi kuzalisha ili kuboresha maisha.

Vilevile amewataka kwenda kufanya shughuli walizoandika kwenye andiko mradi siyo kwenda kugawana na kufanya vitu visivyohusika

" kumbukeni huu ni mkopo usio na riba na nendeni mkafanyie kazi mlizoandika siyo kutumia fedha hizi kuoa, kushona suti na vitenge au shughuli yoyote isiyohusika"

Aidha amewataka walezi wa vikundi hivyo kuwa walezi siyo wamiliki wa vikundi " walezi fanyeni kazi yenu ya kulea siyo kwenda kumiliki kikundi na kusababisha vikundi kuyumba na hili tutalifuatilia" Ludigija

Katika hafla hiyo ameshiriki Mwenyeki wa Halmashauri Mhe. Lameck Hole ambaye amesema Halmashauri inaendelea kutenga fedha kwaajili ya mikopo inayotokana na asilimia kumi ya mapato ya Halmashauri, pia amewahimiza kurudisha mkopo huo kwa wakati ili waweze kupewa watu wengine

" niwaombe sana mjitahidi kutumie fedha hizi kwa kuzalisha na Serikali inataka fedha ikufikie wewe na imfikie mtu mwingine kwahiyo kazitumieni kwa malengo yaliyokusudiwa"

Kaimu Mkurugenzi Bi. Ndelisho Moshi amevitaka vikundi hivyo kwenda kutumia fedha hizo kwa malengo yaliyokusudiwa na kuhakikisha wanarejesha kwa wakati ili lengo la fedha hiyo litimie.

Wanufaika wa mikopo hiyo wameishukuru Serikali kwa kuendeleza utaratibu huo wa kutoa mikopo ili kuinua maisha ya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu

" tunaishukuru Serikali hii mikopo imetusaidia tulianza na mkopo wa milioni 30 tukarejesha sasa hivi tumepewa milioni 96 ambazo zinakwenda kuinua biashara yetu ambapo tunajishughulisha na kutengeneza samani mbalimbali" amesema Kenedy Stephano Mwenyekiti kikundi cha vijana Fundi Seleman


Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA 2025 KWIMBA November 05, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TANGAZO LA KITWA KWENYE USAILI October 14, 2025
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • MILIONI 246 YATOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU

    March 03, 2026
  • DC LUDIGIJA APOKEA MADAWATI 353 KUTOKA KCA NA DORIS MOLLEL FOUNDATION

    March 01, 2026
  • JANABI AZINDUA JENGO LA WATOTO NJITI

    April 28, 2026
  • WAZIRI KAPINGA AKEMEA WANAOTOROSHA CHOROKO

    February 25, 2026
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.