• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

Balaza la Madiwani lashauri hoja zote kujibiwa

Posted on: June 22nd, 2022

Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba yashauliwa kuhakikisha hoja za miaka ya nyuma zinafungwa na walio sababisha kutokea kwa hoja hizo kutafutwa ili washiriki kujibu na kuondoa hoja hizo.



Hayo yamejiri leo Juni 22, 2022 kwenye kikao cha Baraza Maalumu la Madiwani lililolenga kujadili Hoja za Mdhibiti na Mkaguzi wa hesabu za Serikali kwa Mwaka wa fedha ulioishia Juni 30, 2021.


“Hatukubali kulea uzembe popote ilipo fedha ya umma lazima irudi, hata kama aliyekula amehama akatwe kwenye mshahara wake na kama amestaafu akatwe kwenye pensheni yake ili fedha za Serikali zirudi hapa.” Amesisitiza Mkuu wa Mkoa Mhe. Mhandisi Robert Gabriel. 


Naye katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Ndugu Ngusa Samike amewataka Wakuu wa Idara na Vitengo kuweka mikakati itakayowawezesha kuzui kutokea kwa hoja na wametakiwa kujibu hoja zote ili kuondoa mrundikano wa hoja. ”wekeni mikakati mjibu hoja zote ili ziondoke,Mkurugenzi lazima uhakikishe kila Mkuu wa Idara anajibu hoja zake” amesema Ngusa


Kaimu Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali Mkoa wa Mwanza, Waziri Shabani amesema Mwaka 2020/21 Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba ilikaguliwa na kupata Hati Inayoridhisha na kuanzia mwaka 2012/13 hadi 2020/2021 Halmashauri hiyo ina jumla ya Hoja 120 ambapo 70 zipo kwenye hatua mbalimbali ya Utekelezaji na 50 zimefungwa.


“Mhe. Mwenyekiti, sababu kubwa ya hoja kutofungwa kwenye Halmashauri hii ni kutokana na Halmashauri kutoweka mkakati thabiti wa kujibu Hoja kikamilifu na Menejimenti kutokua na vielelezo na ushahidi wa kuthibitisha matumizi na malipo mbalimbali yaliyofanyika.” Amesema Shabani


Pamoja na hayo Mkuu wa Mkoa amekagua mradi wa ujenzi wa Kantini ya Halmashauri ambapo ameshauri wasimamizi wa mradi huo kuongeza kasi ili mradi ukamilike kama ilivyokusudiwa.



Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TAHADHARI YA KIPINDUPINDU September 12, 2024
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WANAFUNZI WAHIMIZWA KUSOMA KWA BIDII

    March 21, 2025
  • MKUU WA WILAYA AHIMIZA USAWA WA KIJINSIA NA UWAJIBIKAJI

    March 06, 2025
  • WATENDAJI WATAKIWA KUONGEZA JUHUDI ZA UKUSANYAJI MAPATO

    February 27, 2025
  • KWIMBA YATOA MILIONI 607 KWA VIKUNDI 37 VYA VIJANA,WANAWAKE NA WALEMAVU

    February 21, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.