• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

WANANCHI WAHAMASISHWA KUJIUNGA NA BIMA YA AFYA KWA WOTE

Posted on: January 5th, 2026


Mkuu wa Wilaya ya Kwimba Mhe Ng'wilabuzu Ludigija leo 5,Januari, 2026 amewashauri wananchi kujiunga na bima ya afya kwa wote ili kujihakikishia upatikanaji wa huduma wakati wote, amesisitiza kuwa Serikali imedhamilia kuboresha utoaji wa huduma za afya kwa wananchi wote  ili wananchi waweze kuwa na uhakika wa matibabu.


Mheshimiwa Ludigija  amewashauri wananchi kuwa tayari kujiunga na bima hiyo ili kujihakikishia upatikanaji wa huduma za afya za uhakika ili kuepusha matatizo yanayojitokeza pindi ugonjwa unapojitokeza ghafla


" hii ni fulsa mtu akilipia hii bima atapata matibabu kama watumishi wanavyopata matibabu kwahiyo hii fulsa tuitumie vizuri ili tuweze kupata huduma za afya za uhakika"


Akitoa taarifa fupi ya kikao hicho mganga Mkuu wa Wilaya Dkt. Fredrick Mgarula amesema Serikali imeanzisha bima hii ili kuwahakikishia wananchi wote wanapata huduma za afya za uhakika mahali popote.


" lengo la kunzishwa bima ya afya kwa yote ni kuongeza uwajibikaji kwa Serikali na wananchi,kuleta usawa katika huduma, kwahiyo bima ni kuchangia fedha kwenye kapu moja ili mmojawetu akiugua fedha hiyo imsaidie kupata huduma kwa urahisi"amesema  Mgarula 


Katika kikao hicho wameshiriki wawakilishi wa makundi mbalimbali wakiwemo waendesha pikipiki,mama lishe,wafanya biashara,viongozi wa vyama vya wafanyakazi,viongozi wa dini,wazee maarufu  na viongozi wengine ambao  wameshauri elimu hii iendelee kutolewa kwa wananchi ili wengi wajue umuhimu wa bima ya afya kwa wote


Mheshimiwa  Sabana Lushu Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kwimba ametumia kikao hicho kuwahamasisha wananchi wote kuona umuhimu wa kujiunga na bima ya afya kwa wote ili kujihakikishia upatikanaji wa huduma bora za afya " ugonjwa unaweza kutokea ukiwa hauna hata fedha ya kwenda hospitali kwahiyo ukiwa na bima itasaidia kupata huduma bila kujali tuko kwenye mazingira gani, nimejifunza bima iliwahi kunisaidia nilipokosa msaada nikiwa natakiwa kufanyiwa upasuaji" amesema Sabana

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA 2025 KWIMBA November 05, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TANGAZO LA KITWA KWENYE USAILI October 14, 2025
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WASIMAMIZI WA MIRADI WATAKIWA KUONGEZA KASI YA UTEKELEZAJI

    January 07, 2026
  • WANANCHI WAHAMASISHWA KUJIUNGA NA BIMA YA AFYA KWA WOTE

    January 05, 2026
  • WANANCHI WAHAMASISHWA KUJIUNGA NA BIMA YA AFYA KWA WOTE

    January 05, 2026
  • KWIMBA YAPANDISHA UFAULU ELIMU HADI ASILIMIA 93

    December 23, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.