• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

Elimu ya Sekondari


HALMASHAURI YA WILAYA YA KWIMBA.

IDARA YA ELIMU SEKONDARI.

MAWASILIANO YA WAKUU WA SHULE.

NA

SHULE

UMILIKI WA SHULE

JINA LA MKUU WA SHULE

NAMBA YA SIMU

EMAIL

1
Archbishop Mayala Girls'
Binafsi
MR MATAMBI
0758 510 292

2
Bujiku Sakila
Serikali
CLOTILDA KOMENKESHA
0769 969 156

3
Bungulwa
Serikali
JOHN KIMASA
0754 310 061

4
Bupamwa
Serikali
ANSELIM KAIJAGE
0755 678 300

5
Igongwa
Serikali
YOEL M. SYLVESTER
0764663964

6
Imalilo
Serikali
SILASI MALIMI
0787501604

7
Iseni
Serikali
FRANSISCO ONGUKA
0765819273

8
Kikubiji
Serikali
LONGINO KASIRI
0754 515 744

9
Kinoja
Serikali
EMMANUEL KIDERA
0765 424 220

10
Lyoma
Serikali
SHAMIM BANDIO
0788 631 476

11
Maligisu
Serikali
SHAMIM BANDIO
0788631476

12
Malya
Serikali
RODGERS E.MSAMI
0627288134

13
Mantare
Serikali
MORICE C.ZAKAYO
0764656203

14
Mhande
Serikali
RICHARD KAZUNGU
0787 407 893

15
Mwabomba
Serikali
DAVID MPEMBA
00765562055

16
Mwagi
Serikali
MUSSA M.NHIGULA
0755520374

17
Mwakilyambiti
Serikali
ELIAS KAJARA
0754067089

18
Mwamala
Serikali
GEORG MADUHU
0784 958 212

19
Mwamashimba
Serikali
EDNA MKAMA
0682 665 962

20
Mwandu
Serikali
KAZINZA BUPUMLA
0786 587 924

21
Mwang'halanga
Serikali
YUSUFU FADHILI
0685 275 577

22
Mwankulwe
Serikali
GODFREY P.MUGIZI
0752294574

23
Mwashilalage
Serikali
ZAHORO A.NKALIMA
0766122757

24
Ndamhi
Serikali
NYAMISI KELEJA
0762 301 948

25
Nella
Serikali
SIMON MANGA
0757525874

26
Ng'hundi
Serikali
DAUDI SUBI
0788 035 168

27
Ngudu
Serikali
HENRY GABRIEL
0765 951 495

28
Ngulla
Serikali
RESTITUTA KIMATH
0752066602

29
Nyamilama
Serikali
JOHANES KATUNZI
0754 570 896

30
Sumve Girls'
Binafsi
SR GENOVEVA
0758 293 448

31
Sumve High School
Serikali
IMMAKULATHA KAIZA
0769 292 871

32
Tallo
Serikali
JOSHUA M.LUGOMA
0754943873

33
Walla
Serikali
NEEMA KITIKU
0683190771








Idara ya Elimu Sekondari

Kazi za Idara

  • Kumshauri Mkurugenzi wa Halmashauri kuhusu shughuli zote zinazohusu Idara ya Elimu ya Sekondari
  • Kusimamia mitihani yote ya ndani na ile ya Taifa yaani Mitihani ya kidato cha II, IV na VI.
  • Kusimamia, kuratibu na kufuatilia shughuli za ujenzi wa miundombinu katika shule za Sekondari kama vile nyumba za walimu, madarasa, majengo ya utawala, maabara, mkataba na vyoo
  • Kusimamia na kuratibu shughuli zote za Ukusanyaji, uchambuzi na kutafsiri takwimu za Idara ya elimu Sekondari na kuzituma kwa wadau wa elimu
  • Kusimamia na kuratibu shughuli za uandaaji wa taarifa na kuzituma kwa wadau mbalimbali wa elimu ngazi ya Wilaya, Mkoa na Taifa
  • Kusimamia na kuhakikisha kuwa wanafunzi wanapata taaluma kwa kiwango kilicho bora kwa mujibu wa Sera ya Elimu ya mwaka 1995 na 2014.
  • Kusimamia na kuhakikisha nidhamu ya wanafunzi, walimu na watumishi wasio walimu inadumishwa shuleni
  • Kusimamia na kuhakikisha fedha za Idara ya Elimu Sekondari zinatumika kwa kufuata kanuni, sheria, taratibu na miongozo ya fedha za Serekali za Mitaa
  • Kuhakikisha vifaa vya kufundishia na kujifunzia vinapatikana katika shule za sekondari
  • Kuhakikisha kuwa shule zote za Sekondari zina samani za kutosha kwa ajili ya walimu na wanafunzi
  • Kuandaa ajenda na kuhudhuria vikao vyote vinavyohusu Idara ya Elimu Sekondari
  • Kuandaa taarifa za utekelezaji za Idara ya elimu sekondari za robo na mwaka na kuziwasilisha kwa wadau mbalimbali wa maendeleo kama vile Waheshimiwa Madiwani, Mkoa na Taifa
  • Kuandaa makisio ya bajeti ya Idara ya Elimu ya Sekondari kila mwaka.
  • Kupokea na kuwapangia vituo walimu na wafanyakazi wa idara wanaohamia au wanaoajiriwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba.        



                                             

Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TAHADHARI YA KIPINDUPINDU September 12, 2024
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WANAFUNZI WAHIMIZWA KUSOMA KWA BIDII

    March 21, 2025
  • MKUU WA WILAYA AHIMIZA USAWA WA KIJINSIA NA UWAJIBIKAJI

    March 06, 2025
  • WATENDAJI WATAKIWA KUONGEZA JUHUDI ZA UKUSANYAJI MAPATO

    February 27, 2025
  • KWIMBA YATOA MILIONI 607 KWA VIKUNDI 37 VYA VIJANA,WANAWAKE NA WALEMAVU

    February 21, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.