• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

KWIMBA YAPANDISHA UFAULU ELIMU HADI ASILIMIA 93

Posted on: December 23rd, 2025


Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba imepandisha kiwango cha ufaulu wa elimu ya msingi hadi kufikia asilimia 93.44 na kufikia wastani wa ufaulu wa 203.61 ukilinganisha na mwaka 2024 ambapo ufaulu ulikuwa kwa asilimia 86.1% sawa na wastani wa ufaulu wa  177.24, mafanikio haya ni  jitihada za pamoja za walimu, wanafunzi, uongozi wa Halmashauri pamoja  na wadau mbalimbali wa elimu.

Akizungumza  katika sherehe ya usiku wa Mwalimu katika ukumbi wa safari Club, Mkuu wa Wilaya ya Kwimba  Mhe.Ng’wilabuzu Ludigija, amewapongeza walimu wa shule za msingi kwa bidii na kujituma kwao, akisema mafanikio hayo ni matokeo ya kazi kubwa inayofanywa na walimu

“Nawapongeza walimu wote wa Wilaya ya Kwimba kwa kazi kubwa na kujitoa kwenu katika kufundisha watoto wetu. Matokeo haya yanathibitisha kuwa bidii, nidhamu na ushirikiano huzaa matunda, Endeleeni kujituma zaidi ili kuongeza ufaulu na kuijenga kesho bora ya Taifa,” amesema Ludigija.

 Ameongeza kuwa Serikali itaendelea kuboresha mazingira ya kazi kwa walimu ili kuwapa motisha na kuwezesha utoaji wa elimu bora kwa wanafunzi wote.

Naye Mkurungenzi Mtendaji  wa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba, Dkt. Amon Mkoga, amesema ongezeko hilo limetokana na ushirikiano anaoutoa kwa walimu  sambamba na utoaji wa motisha kwa walimu wanaofanya vizuri katika masomo yao hususani masomo ya Hisabati na kiingereza

“Kuongezeka kwa ufaulu hadi kufikia asilimia 93.44 ni matokeo ya ushirikiano na uwajibikaji na huu ni mwanzo, nipende kuwaambia walimu nitaendelea kutoa ushirikiano pamoja na kuwapatia motisha walimu na shule zitakazo fanya vizuri lengo letu ni kufikia asilimia 96% ya ufaulu ifikapo mwaka 2026”amesema Mkoga

Mkoga ameongeza kuwa Halmashauri imeendelea kufanya vizuri katika upimaji wa kitaifa wa darasa la nne ambapo ufaulu umepanda hadi kufikia asilimia 87.14% huku lengo la halmashauri ni kufikia asilimia 98% ya ufaulu ifikapo 2026.


Walimu waliopongezwa wameahidi kwenda kuongeza juhudi ili kuhakikisha ufaulu unaongezeka zaidi ili kufikia lengo lililokusudiwa.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA 2025 KWIMBA November 05, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TANGAZO LA KITWA KWENYE USAILI October 14, 2025
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WASIMAMIZI WA MIRADI WATAKIWA KUONGEZA KASI YA UTEKELEZAJI

    January 07, 2026
  • WANANCHI WAHAMASISHWA KUJIUNGA NA BIMA YA AFYA KWA WOTE

    January 05, 2026
  • WANANCHI WAHAMASISHWA KUJIUNGA NA BIMA YA AFYA KWA WOTE

    January 05, 2026
  • KWIMBA YAPANDISHA UFAULU ELIMU HADI ASILIMIA 93

    December 23, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.