• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

WASIMAMIZI WA MIRADI WATAKIWA KUONGEZA KASI YA UTEKELEZAJI

Posted on: January 7th, 2026


Mkuu wa Wilaya ya Kwimba Mh. Ng’wilabuzu Ludigija, ametembelea na kukagua mradi wa ujenzi wa vibanda vya biashara unaoendelea katika stendi ya Zaman Ngudu, kwa lengo la kujiridhisha na hatua za utekelezaji wa mradi huo pamoja na ubora wa kazi zinazofanyika.

Akizungumza leo tarehe 7 januari wakati wa ziara , Mkuu wa Wilaya amesema mradi huo ni muhimu katika kuboresha mazingira ya biashara, kuongeza mapato ya Halmashauri na kutoa fulsa kwa wafanyabiashara kufanya shughuli zao katika maeneo rasmi na salama.

 “matarajio ya Serikali ni kuona mradi huo unakamilika kwa wakati na kwa viwango vinavyokubalika, ili vibanda hivyo viwanufaishe wafanyabiashara na wananchi kwa ujumla”  Amesema Ludigija 

Mkuu wa Wilaya amewataka wakandarasi na wasimamizi wa mradi kuhakikisha wanazingatia ubora, muda wa utekelezaji na thamani ya fedha, huku akisisitiza ujenzi wa jengo la famasia uanze kutekelezwa mapema kwa kuzingatia ubora na viwango sahihi.

Kwa upande wao, wasimamizi wa mradi kutoka  Halmashauri  wamemueleza Mkuu wa Wilaya kuwa ujenzi unaendelea vizuri na wamejipanga kuhakikisha changamoto zozote zinazojitokeza zinatatuliwa kwa wakati ili mradi huo ukamilike na kuanza kutumika kwa lengo lililokusudiwa.


Aidha Mkuu wa Wilaya  amekagua utekelezaji  wa ujenzi wa jengo la walinzi katika Hospitali ya Wilaya ya Kwimba na ujenzi wa jengo la watoto njiti ambapo amewaelekeza wasimamizi wa miradi hiyo kukamilisha utekelezaji kwa kuzingatia ubora na viwango vinavyotakiwa huku wakizingatia thamani ya fedha za miradi hiyo.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA 2025 KWIMBA November 05, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TANGAZO LA KITWA KWENYE USAILI October 14, 2025
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WASIMAMIZI WA MIRADI WATAKIWA KUONGEZA KASI YA UTEKELEZAJI

    January 07, 2026
  • WANANCHI WAHAMASISHWA KUJIUNGA NA BIMA YA AFYA KWA WOTE

    January 05, 2026
  • WANANCHI WAHAMASISHWA KUJIUNGA NA BIMA YA AFYA KWA WOTE

    January 05, 2026
  • KWIMBA YAPANDISHA UFAULU ELIMU HADI ASILIMIA 93

    December 23, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.