• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

DAS AKABIDHI PIKIPIKI KWA MAAFISA UGANI

Posted on: November 25th, 2025


Kampuni ya H.K imetoa pikipiki 12 kwa watendaji ili kusaidia katika shughuli za maendeleo ya kilimo cha zao la pamba

Akikabidhi pikipiki hizo Katibu Tawala ndugu Mohamed Ngasinda amewataka kwenda kusimamia zao hilo kwa umakini kwani Serikali inaendelea kuboresha zao la pamba ili kuongeza uzalishaji wa zao hii

" juhudi zilizopo ni kurudisha zao hili kwa kuboresha zao hili kupitia mbegu bora,mbolea na wataalamu wakusimamia maendeleo ya zao hili" amesema Ngasinda

Amewataka wataalamu hao walioaminiwa na bodi ya pamba na kupewa ajira hiyo kufanya kazi kwa bidii na kufanya kazi kama wataalamu ili kuongeza uzarishaji wa zao hilo.

Pia amewataka kwenda kutumia vizuri vitendea kazi vyote walivyopewa ikiwa ni pamoja na pikipiki " msibadirishe matumizi ya pikipiki hizi mkaanza biashara nyingine tunataka pikipiki hizi zikatumike kusimamia maendeleo ya zao la pamba, tunataka mkawe mnyororo wa kuonyesha maendeleo na kufikia lengo la uzarishaji wa pamba" amesema

Pia amewataka kwenda kuhamasisha wananchi kulima zao la pamba kwasababu Serikali inatoa mbegu kwa bei ya ruzuku na mbolea hivyo wakulima wengi wachague kulima zao hilo la pamba

Akiwasilisha taarifa mratibu wa mradi huo kutoka kampuni ya H.K amesema Wizara imewaruhu kufanya kazi japo kwa masharti ya kuwahudumia kwa kuwapatia usafiri maafisa ugani wote watakaofanya nao kazi ya pamba. Aidha kiwanda hicho kimefunguliwa ili kuanza kazi zake baada ya kukaa kwa muda mrefu bila kufanya kazi.

Mtendaji wa Kijiji cha Mwalujo amewapongeza viongozi wa kampuni hiyo kwa kuamua kufufua kiwanda hicho ili kiweze kufanya kazi tena.

Nao maafisa ugani waliopewa pikipiki pamoja na vitendea kazi vingine wameishukuru kampuni na bodi ya pamba kwa ujumla kwa kuwawezesha kupata vitendea kazi vitakavyowarahisishia kazi ya usimamizi wa zao la pamba

Naye Martin Raphael Afisa ugani amesema " wengi tulikuwa hatuna ajira tumefurahi kupata ajira hii na tunaaahidi tutafanya kazi na kuleta matokeo chanya kwenye zao hili"


Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA 2025 KWIMBA November 05, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TANGAZO LA KITWA KWENYE USAILI October 14, 2025
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • KAIMU MKURUGENZI AFUNGUA MAFUNZO YA MPANGO NA BAJETI

    November 27, 2025
  • DAS AKABIDHI PIKIPIKI KWA MAAFISA UGANI

    November 25, 2025
  • WATUMISHI AJIRA MPYA WAASWA KUZINGATIA KANUNI ZA UTUMISHI WA UMMA

    November 24, 2025
  • SERIKALI YASEMA UPELELEZI UNAENDELEA KUJUA CHANZO CHA MOTO SUMVE

    November 22, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.