• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

DC ASHAURI WAGONJWA WAHUDUMIWE KWA UPENDO

Posted on: April 14th, 2023


Mkuu wa Wilaya ya Kwimba Mhe. Ng'wilabuzu Ludigija amewataka watumishi wa Idara ya Afya kufanya kazi kwa upendo huku wakizingatia sheria na taratibu zinazoongoza kazi zao. Ameyasema hayo leo April 14,2023 wakati akifanya kikao kazi na watumishi wa Hospitali ya Wilaya ya Kwimba


" Wahudumieni wagonjwa kwa upendo, wagonjwa wote wanatakiwa kupata huduma sawa kwahiyo zingatieni sana huduma kwa wateja mnazitoa inavyotakiwa au unamuhudumia mtu akitoka hapo anakwenda kusema Icheja hapafai kabisa!, tena wale wachache mnaotoa huduma mbovu badirikeni tunataka kuona wagonjwa wanaipenda hii hospitali, wagonjwa waje kutoka hata nje ya Wilaya wafuate huduma nzuri zinazotolewa Kwimba" amesema Ludigija


Aidha Mkuu huyo amewataka watumishi wote kufanya kazi kwa kupendana na kusaidiana Ili kuhakikisha huduma zinazotolewa zinakuwa bora zaidi.Pia amewasisitiza watumishi hao kutimiza wajibu wao kwa kufika Hospitali kwa wakati na kuzingatia taratibu zote zinazotakiwa wakati wa kutoa huduma kwa wagonjwa.


Mkuu huyo amewasisitiza watumishi hao kutumia lugha nzuri wanapotoa huduma kwa wagonjwa ili kuongeza chachu ya wagonjwa kupenda kutibiwa na kupata huduma hospital

"mawasiliano ya dakitari au muuguzi na mgonjwa yanaweza kuongeza ugonjwa au kupunguza ugonjwa kwahiyo zingatieni mawasiliano mazuri na wagonjwa.


Vilevile Mheshimiwa Ludigija amekemea tabia ya kuomba au kupokea rushwa kutoka kwa wagonjwa " kama Kuna baadhi  yenu mnaomba chochote kwa wagonjwa ndipo muwahudumie acheni hiyo tabia, tabia hiyo haikubariki na hatutaivumilia yeyote atakayebainika atachukuliwa hatua za kisheria" Ludigija


Katika kikao hicho ameshiriki Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Bi. Happiness Msanga ambaye amewataka watumishi hao kufanya kazi kwa kuzingatia sheria, taratibu na kanuni zinazoongoza utumishi wa umma.

Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TAHADHARI YA KIPINDUPINDU September 12, 2024
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WANAFUNZI WAHIMIZWA KUSOMA KWA BIDII

    March 21, 2025
  • MKUU WA WILAYA AHIMIZA USAWA WA KIJINSIA NA UWAJIBIKAJI

    March 06, 2025
  • WATENDAJI WATAKIWA KUONGEZA JUHUDI ZA UKUSANYAJI MAPATO

    February 27, 2025
  • KWIMBA YATOA MILIONI 607 KWA VIKUNDI 37 VYA VIJANA,WANAWAKE NA WALEMAVU

    February 21, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.