• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

DC LUDIGIJA AAPA KUWAFUNGA WANAOBAKA AU KUO WANAFUNZI

Posted on: July 12th, 2025



Mkuu wa Wilaya ya Kwimba Mhe. Ng'wilabuzu Ludigija  amewataka vijana na wanaume wote wanaoingia tamaa ya kuwashawishi na kuwabaka wanafunzi kuacha tabia hiyo mara moja kwani atakayebainika kumpa ujauzito au kuoa mwanafunzi atafungwa miaka 30 haijarishi mtuhumiwa atakuwa na umri gani

" tutawafunga miaka 30 bila kujali wewe ni mzee au kijana yaani ukibainika umebaka mwanafunzi maana tunachojua mwanafunzi ni mtoto kwahiyo hata kama alikubaliana na wewe sisi tunajua umembaka tutakufunga" Ludigija

Ameyasema hayo leo  12 Juni, 2025 kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Kata ya Mantare na Sumve wakati akisiliza na kutatua kero za wananchi.

Mkuu huyo ametumia mkutano huo kuwahamasisha Wananchi kuzingatia maelekezo ya kiafya ili kujikinga na mlipuko wa magonjwa mbalimbali pia amewasisitiza wanawake wajawazito kuzingatia utaratibu wa kuhudhulia kliniki kwa wakati na kwenda kujifungua Hospitali.

Aidha amewataka viongozi wa Vijiji kutoa taarifa za waganga wa tiba asili wanaofanya ramli chonganishi ili wachukuliwe hatua

"Wenyeviti wa vijiji na vitongoji  tuambieni kama kuna waganga wanafanya ramli za kuchonganisha watu ili tuwakamate, kama wewe ni mganga na umeona mtu ni mchawi pambana naye wewe siyo umwambie mtu eti umelogwa na fulani, tutawakamata"  Ludigija

PiaWananchi wametakiwa kuzingatia malezi bora kwa watoto ili kupunguza au kuondoa kabisa changamoto ya mmomonyoka wa maadili

Wataalamu walioshiriki mkutano huo wametoa maelekezo mbalimbali kwa wananchi yakiwemo kuwapeleka watoto wenye mahitaji maalumu wakike kwenye shule ya Msingi Kakora ambapo kituo kimeanzishwa cha kupokea watoto walema wenye umri wa kuanzia miaka mitano ili wakapate elimu na wataishi hapo shuleni bila kuchangia gharama yoyote.

Wananchi walioshiriki  mikutano hiyo wamemshukuru Mkuu wa Wilaya kwa kuona umuhimu wa kusikiliza kero na changamoto zao kwani maswali na changamoto zote zilizojitokeza zimepatiwa ufumbuzi.

Katika mikutano hiyo wananchi wamehamasishwa kushiriki uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu, ambapo wameshauriwa kushiriki kwenda kupiga kura kuwachagua viongozi watakaowaletea maendeleo katika maeneo yao.

Matangazo

  • MAKALA YA JUNI 2025 July 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • DC LUDIGIJA AHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA KUPIGA KURA SIKU YA UCHAGUZI MKUU 2025

    October 02, 2025
  • KIONGOZI MWENGE WA UHURU AIPONGEZA KWIMBA KUONGEZA WIGO UKUSANYAJI MAPATO

    August 28, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KWIMBA UKITOKEA MAGU

    August 28, 2025
  • DED MKOGA ASISITIZA WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI KUTOFICHWA

    August 21, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.