• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

DC LUDIGIJA AHAMASISHA WANANCHI KUJIORODHESHA KWENYE DAFTARI LA MPIGA KURA

Posted on: October 13th, 2024


Mkuu wa Wilaya ya Kwimba Mhe Ng'wilabuzu Ludigija  leo Oktoba  13,2024 amejiandikisha kwenye daftari la orodha ya wapiga kura kwaajili ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika tarehe 27 Novemba 2024.


Mkuu huyo ametumia wasaa huo kuwahamasisha Wananchi wote ambao bado hawajajiandikisha waende kwenye vituo vilivyo maeneo wanayoishi ili wajiandikishe kwaajili ya kupata haki ya kupiga kura ya kuwachagua viongozi wa Serikali za mitaa.


Uandikishaji wa orodha ya wapiga kura ulianza tarehe 11 Oktoba na utamalizika tarehe ishirini mwezi huu. Wananchi  wote wameaswa kujitokeza kwa wingi kushiriki shughuli hiyo ya Kitaifa.


Naye Msimamizi wa Uchaguzi wa majimbo ya Kwimba na Sumve  Dkt.Amon Mkoga amewahamasisha Wananchi waliokuwepo katika kituo hicho cha ngudulugulu kwenda kuwa mabalozi kwa familia zao na majirani zao kuwahamasisha kujiandikisha


" niwaombe mkawahamasishe wanafamilia wenu wote majirani zenu na ndugu wote waje wajiandikishe ili uchaguzi ukifika waweze kupiga kura kuchagua viongozi wanaowataka" amesema Mkoga


Wanachi waliokuwa wakijiandikisha katika kituo hicho wameahidi kwenda kuwahamasisha wananchi ambao bado hawajajiandikisha ili nao wajiandikishe " niwashauri wengine waje wajiandikishe ili siku ya Uchaguzi tumchague Mwenyekiti tunayemtaka" amesema Getruda Malisu

Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TAHADHARI YA KIPINDUPINDU September 12, 2024
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WAZIRI MKUU AWEKA JIWE LA MSINGI JENGO LA UTAWALA LA HALMASHAURI

    May 18, 2025
  • WAUGUZI WATAKIWA KUENDELEA KUTOA HUDUMA BORA

    May 12, 2025
  • MAADHIMISHO YA MEIMOSI YAHAMASISHA WANANCHI KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU

    May 01, 2025
  • MKURUGENZI AWATAKA WATUMISHI WOTE KUFANYA KAZI KWA UPENDO NA UADILIFU

    April 28, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.