• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

DC LUDIGIJA AHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA KUPIGA KURA SIKU YA UCHAGUZI MKUU 2025

Posted on: October 2nd, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Kwimba Mhe Ng'wilabuzu Ludigija  amewahamasisha Wananchi  kujitokeza siku ya uchaguzi kwenda kupiga kura kuwachagua viongozi watakaohamasisha maendeleo.

"Kilichotukutanisha hapa leo nikukumbushana kuwa tarehe 29,Oktoba 2025 itakuwa siku ya uchaguzi hivyo wananchi wote ni haki yenu kwenda kupiga kura kwenye vituo mlivyojiandikisha"amesema Ludigija

Pia amwataka wananchi kulinda amani ya Taifa kwa kutojihusisha na shughuli zinazoweza kuleta uvunjifu wa amani siku hiyo "Niwaombe sana tujiepushe siku hiyo na mambo yanayoweza kuleta uvunjifu wa amani, twende kupiga kura na turudi nyumbani tusubiri matokeo"Ludigija

Pia amewakumbusha kuwa kiongozi atakayepatikana atatokana na kura zilizopigwa hivyo kila Mwananchi anatakiwa kupiga kura ili kumpata kiongozi anayemtaka

"Ile kasumba ya kusema sipigi kura maana kiongozi ameshapita achaneni nayo maana kila mtu akisema hivyo hatutapata kiongozi tunayemtaka hivyo kupiga kura ni muhimu kwa maendeleo ya Taifa letu.

Pia amewataka kwenda kuwa mabalozi kwa watu wengine kuwakumbusha kuwa tarehe 29 Oktoba 2025 wote kwenda kupiga kura.

Naye Katibu Tawala Wilaya ya Kwimba ametumia wasaa huo kuwahamasisha Wananchi wote kutumia haki yao ya kikatiba ya kupiga kura ili kuwapata viongozi watakaoleta maendeleo.

Aidha msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Kwimba na Sumve ametumia wasaa huo kuwaelekeza na kuwakumbusha wananchi taratibu zitakazotumika siku ya uchaguzi kwenye kituo cha kupigia kura, huku akiwasisitiza kuwa atakaye ruhusiwa kupiga kura ni yule aliyejiandikisha kwenye daftari la mpiga kura na atatakiwa kufika kwenye kituo cha kupigia kura akiwa na kitambulisho chake.

Wananchi waliofika katika tamasha hilo wameonyesha kuwa wanayo shauku ya kufika siku ya uchaguzi ili wakatumie haki yao ya kikatiba kuchagua viongozi wanaowataka.

Matangazo

  • MAKALA YA JUNI 2025 July 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • DC LUDIGIJA AHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA KUPIGA KURA SIKU YA UCHAGUZI MKUU 2025

    October 02, 2025
  • KIONGOZI MWENGE WA UHURU AIPONGEZA KWIMBA KUONGEZA WIGO UKUSANYAJI MAPATO

    August 28, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KWIMBA UKITOKEA MAGU

    August 28, 2025
  • DED MKOGA ASISITIZA WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI KUTOFICHWA

    August 21, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.