• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

DC LUDIGIJA AISHUKURU TAASISI YA DORIS MOLEL KWA KUJENGA JENGO LA WATOTO NJITI

Posted on: August 5th, 2025



Mkuu wa Wilaya ya Kwimba Mhe Ng'wilabuzu Ludigija  ameishukuru Taasisi ya Doris Molel Foundation kwa kuona umuhimu wa kujenga jengo la watoto njiti katika Hospitali ya Wilaya ya Kwimba

Akiongea na mfadhili wa shirika hilo Bwana Antonio Luic Antonio ambaye ni Mkurugenzi  wa  shirika la KCA ( Keep a Child  alive) amewashukuru kwa kutoa  zaidi ya bilioni 1.5 kwaajili ya kufanikisha mradi  ambapo bilioni 1.4 kwaajili ya jengo la watoto njiti, vitanda na vifaa tiba na fedha nyingine ni kwaajili ya ujenzi wa nyumba mbili za watumishi ambapo  kila nyumba itajengwa kwa milioni 92.

Akiwasilisha taarifa  ya utekelezaji wa mradi huo Mganga Mkuu wa Hospitali ya Wilaya Dr. Fredrick Mgarula amesema kukamilika kwa majengo hayo kutasaidia upatikanaji wa huduma bora kwa watoto njiti, pia itapunguza  au kuondoa kabisa vifo vya watoto njiti kwani huduma bora zitapatikana Wilayani hapa hakutakuwa na haja ya kupeleka watoto hospita ya Mkoa ambayo iko mbali zaidi ya kilomita 90 kutoka Kwimba.

Aidha Mganga Mkuu akiwasilisha taarifa hiyo amewaomba wafadhili hao kama itawezekana kuongeza nyumba nyingine za watumishi ili kusaidia watumishi kuishi karibu na hospitali ili kurahisisha upatikanaji wa huduma za dharura.

Naye Doris Molel amewaeleza Wafadhili hao kuwa ujenzi unaendelea vizuri na mahitaji ya majengo hayo ni makubwa sana kwani watoto njiti ni wengi na wanahitaji huduma bora.

Bwana Antonio  ametembelea wodi ya watoto njiti inayotumika kwa sasa ambapo ametoa zawadi kwa wazazi wa watoto hao kisha amekagua maendeleo ya utekelezaji wa mradi huo ambapo amepongeza kwa hatua iliyopo pia amesema anao wito wa kusaidia watoto njiti ili waishi ndio sababu alianzisha Shirika linaloitwa " Keep a Child alive "

Matangazo

  • MAKALA YA JUNI 2025 July 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • DC LUDIGIJA AHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA KUPIGA KURA SIKU YA UCHAGUZI MKUU 2025

    October 02, 2025
  • KIONGOZI MWENGE WA UHURU AIPONGEZA KWIMBA KUONGEZA WIGO UKUSANYAJI MAPATO

    August 28, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KWIMBA UKITOKEA MAGU

    August 28, 2025
  • DED MKOGA ASISITIZA WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI KUTOFICHWA

    August 21, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.