• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

DC LUDIGIJA ARUDI SHIGANGAMA KUTOA MREJESHO WA KERO ZA KIJIJI HICHOO

Posted on: July 24th, 2025



Mkuu wa Wilaya ya Kwimba Mhe Ng'wilabuzu Ludigija  ametoa mrejesho wa utatuzi wa kero za kijiji cha Shigangama baada ya kero hizo kuwasilishwa kwenye mkutuno wa kusikiliza na kutatua kero uliofanyika miezi michache iliyopita.

" mnakumbuka awamu iliyipita nilifika hapa mkaeleza kero ya upatikanaji wa maji hakuna mabomba wala visima,barabara mbovu na uchakavu wa miundombinu ya Shule ya msingi hasa vyoo havikuwepo, sasa mumeona utekelezaji umefanyika madarasa yamejengwa,vyoo vimejengwa pia gari la kuchimba kisima lilikuja hapa lakini walipochimba hawakukuta maji kwahiyo maji tunasubiri mradi wa maji ya ziwa Victoria kwasababu upande wa visima imeshindikana" amesema Ludigija

Pia ameutumia mkutano huo kutatua mgogoro wa ardhi uliopo kati ya wananchi na muwekezaji anayetaka kuanzisha shughuli za kilimo, ambapo amewaelekeza wataalamu wa arshi na watu wengine kufika eneo hilo ili kukutana na wananchi wanaoishi katika eneo hilo pamoja na mmiliki ili wakague na kutafuta ufumbuzi wa mgogoro huo.

Mwenyekiti wa kijiji cha Mwang'hanga  amewashauri wananchi wenye mgogoro huo wa ardhi wakubali kutatua mgogoro huo kwa amani kati yao na muwekezaji ili wasifukuzwe eneo hilo maana kama wataondolewa itakuwa usumbufu kwa wanafunzi

Katika mkutano huo ameshiriki Katibu CCM kata ya Shilembo ambaye ameshauri Mgogoro huo utatuliwe kwa umakini zaidi ili wananchi wasihamishwe wakapata usumbufu.

Eneo hilo lina hati ya  mwaka 1987 hivyo wananchi wanaoishi wameshauliwa kutoa ushirikiano kutatua mgogoro huo kati yao na mmiliki wa eneo hilo ili mmiliki wa eneo hilo apate haki na wananchi wanaoishi eneo hilo wapate haki

Wananchi wamemuomba Mkuu wa Wilaya kusimamia utatuzi wa mgogoro huo ili kila anayeguswa na mgogoro huo apate haki yake

Matangazo

  • MAKALA YA JUNI 2025 July 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • DC LUDIGIJA AHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA KUPIGA KURA SIKU YA UCHAGUZI MKUU 2025

    October 02, 2025
  • KIONGOZI MWENGE WA UHURU AIPONGEZA KWIMBA KUONGEZA WIGO UKUSANYAJI MAPATO

    August 28, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KWIMBA UKITOKEA MAGU

    August 28, 2025
  • DED MKOGA ASISITIZA WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI KUTOFICHWA

    August 21, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.