• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

DED MKOGA ASISITIZA UWAJIBIKAJI KWA WATENDAJI WA VIJIJI

Posted on: September 24th, 2024


Watendaji wa vijiji watakiwa kufanya kazi kwa kuzingatia sheria,taratibu na kanuni za utumishi wa umma, haya yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Dkt. Amon D. Mkoga kwenye kikao kilichofanyika leo Septemba 24,2024.


Mkurugenzi huyo amewataka watendaji kuacha kufanya kazi kwa mazoea na badara yake wazingatie taratibu za utumishi " fanyeni kazì zenu kwa weledi, simamieni miradi na kazi zote mnazotakiwa kusimamia kila mtu ahakikishe anatimiza wajibu wake"


Watendaji hao wamesisitizwa kuweka fedha za makusanyo kwenye akaunti ya Halmashauri  ili kuepuka vishawishi vya kutumia fedha ya serikali

" mkikusanya mapato hakikisheni hamkai na fedha nyumbani pelekeni Benki, sitarajii kuona mtumishi wa umma anasubiri kushurutishwa ndipo apeleke fedha benki"


Aidha Katibu Tawala Wilaya Ndugu Mohamed ametumia wasaa huo kuwataka watendaji kuendelea kuhamasisha wananchi kujenga vyoo ili kuepuka kipindupindu na magonjwa mengine ya mlipuko.


Naye Mganga Mkuu wa wilaya Dkt.Zuber  amewataka watendaji hao kwenda kuhamasisha wananchi kuendelea kujikinga na ugonjwa wa kipindupindu kwa kuendelea kuchukua tahadhari.


Katika kikao hicho elim ya mpiga kura imetolewa huku watendaji wakihamasishwa kwenda kuwahamasisha wananchi kushiriki kujiandikisha kwaajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa. 


Watendaji walioshiriki kikao hicho wamewasilisha kero zao huku wakuahidi kwenda kufanyia kazi maelekezo yote yaliyotolewa

Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TAHADHARI YA KIPINDUPINDU September 12, 2024
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WANAFUNZI WAHIMIZWA KUSOMA KWA BIDII

    March 21, 2025
  • MKUU WA WILAYA AHIMIZA USAWA WA KIJINSIA NA UWAJIBIKAJI

    March 06, 2025
  • WATENDAJI WATAKIWA KUONGEZA JUHUDI ZA UKUSANYAJI MAPATO

    February 27, 2025
  • KWIMBA YATOA MILIONI 607 KWA VIKUNDI 37 VYA VIJANA,WANAWAKE NA WALEMAVU

    February 21, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.