• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

DED MKOGA ASISITIZA WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI KUTOFICHWA

Posted on: August 21st, 2025



Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Dkt. Amon Mkoga  amewataka wazazi wenye watoto wenye ulemavu wa ngozi (Albino)  kutofichwa nyumbani badara yake  wapelekwe shuleni ili wapate elimu.

Ameyasema haya leo 21,Agosti  2025 wakati akizindua mradi wa BRIGHT  FUTURE FOR CHILDREN  WITH ALBINISM  ambapo wazazi wenye watoto wenye ulemavu wa ngozi, viongozi wa dini na wazee mashuhuri wameshiriki  kujadiri namna bora ya kuwasaidia watoto hao kupitia mradi huo.

Akiwasilisha taarifa ya mradi huo Mratibu wa mradi Ndugu Severine Mapunda amesema mradi unalenga kuwasaidia watoto wenye ulemavu kupata elimu na mahitaji muhimu ili waweze kuondokana na tatizo la kisaikolojia linalotokana na kutengwa na jamii

"inaonekana sehemu kubwa watoto wenye ulemavu wa ngozi wanakosa mahitaji muhimu huku watoto wengine wakitelekezwa na wazazi wao  hii inapelekea wengi kupata msongo wa mawazo na kushindwa kufanya vizuri kwenye masomo yao" amesema Saverine

Naye Yusuph Bwango  msimamizi wa mradi huo amesema mradi utaanza kwa kutoa elimu kwa wananchi ili kupunguza au kuondoa kabisa tabia ya kuwanyanyapaa watu wenye ulemavu wa ngozi.amesisitiza kuwa kwa awamu ya kwanza mradi utafikia vijiji 22 na badae wataendelea na vijiji vingine.

Katika uzinduzi huo ameshiriki Afisa Elimu, Elimu Maalumu Mwalimu Chubwa  ambaye amewasisitiza wazazi kupeleka watoto wenye ulemavu katika kituo cha Kakora Shule ya Msingi ambapo wataishi hapo na kupata Elimu huku ghalama zote  zikitolewa na Serikali.

Wazazi wa watoto hao wamefurahia huduma zitakazotolewa na mradi huo na wameahidi kupeleka watoto hao shuleni kupata elimu.

Matangazo

  • MAKALA YA JUNI 2025 July 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • KIONGOZI MWENGE WA UHURU AIPONGEZA KWIMBA KUONGEZA WIGO UKUSANYAJI MAPATO

    August 28, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KWIMBA UKITOKEA MAGU

    August 28, 2025
  • DED MKOGA ASISITIZA WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI KUTOFICHWA

    August 21, 2025
  • MAMBO YA KUKIMBIZA SIMU KWA MTU AKUSOMEE MESEJI YAMEPITWA NA WAKATI

    August 14, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.