• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

DED MKOGA AWATAKA WASIMAMIZI WA MIRADI KUONGEZA KASI YA UTEKELEZAJI

Posted on: October 10th, 2025


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Dkt. Amon Mkoga amewataka wasimamimizi wa miradi ngazi ya Kata kuhakikisha wanaongeza kasi ya utekelezaji ili miradi iweze kukamilika kwa wakati.

Ameyasema hayo Oktoba 9,2025 wakati akifanya ziara ya Kata kwa Kata kukagua maendeleo ya utekelezaji wa miradi na shughuli nyingine

" nawapa wiki moja kukamilisha miundombinu yote, baada ya wiki moja nitarudi hapa Kikubiji kukagua hiki kituo cha Afya " alisema Mkoga

Aidha amewataka wasimamizi wa miradi ya ujenzi wa madarasa Kata ya Mhande na Walla kuongeza juhudi zaidi ili kukamilisha miradi kwa wakati

Pia ametumia ziara hiyo kuongea na watumishi Kata ya Kikubiji,Nyamilama,Mhande na Bupamwa ambapo amewasisitiza kufanya kazi kwa bidii na kutimiza wajibu wao.

Mkoga ametumia ziara hiyo kukagua vyanzo vya mapato ambapo wanaosimamia ukusanyaji wa mapato wametakiwa kufanya kazi hiyo kwa uaminifu.


Matangazo

  • TANGAZO LA KITWA KWENYE USAILI October 14, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WASIMAMIZI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WAASWA KUZINGATIA SHERIA NA TARATIBU ZA UCHAGUZI

    October 26, 2025
  • TUNATAKA WANAWAKE WAMILIKI UCHUMI KUPITIA MIKOPO HII YA ASILIMIA KUMI

    October 24, 2025
  • WANAFUNZI WALIOMBEA TAIFA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU

    October 19, 2025
  • WANANCHI WAHAMASISHWA KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU

    October 18, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.