• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO NITAZIFUATILIA

Posted on: December 18th, 2024



Mkuu wa Wilaya ya Kwimba Mhe.Ng'wilabuzu Ludigija  amewataka wakuu wa taasisi zote zilizopo Wilayani Kwimba kuhakikisha wanassimamia utekelezaji wa miradi ya maendeleo na kuhakikisha fedha zote za miradi zinatekeleza miradi kwa wakati kabla ya mwaka wa fedha kuisha

" siyo vizuri fedha zinakuja kutoka Serikali kuu harafu zinakaa muda mrefu bila kutekeleza miradi iliyokusudiwa, kwahiyo fedha za miradi ya maendeleo nitazifuatilia kwa karibu sana"  amesema Ludigija

Mkuu wa Wilaya ameyasema haya kwenye kikao cha kamati ya ushauri ya Wilaya kilichofanyika leo Desemba 18,2024 katika ukumbi wa Halmashauri ambapo taarifa za taasisi za RUWASA,TARURA,Halmashauri na taarifa nyingine zimewasilishwa kwenye kikao hicho.

Aidha Mkuu wa Wilaya ameitaka taasisi ya RUWASA  kuhakikisha wanamsimamia mkandarasi anayetekeleza mradi wa maji wa Shighumlo- Nyamilama ili akamilishe mradi huo huku akisisitiza mtandao wa mradi huo ukamilike haraka ili wananchi  wapate huduma pamoja na shule ya sekondari Nyamilama  ipate maji ya uhakika

" tunatarajia kuanzisha kidato cha tano na sita hapo shule ya Nyamilama  kwahiyo maji yanatakiwa yapatikane ya uhakika ili wanafunza wapate maji ya kutosha" Ludigija

Mheshimiwa Ludigija  ametumia kikao hicho kutoa maelekezo kwa watumishi wote wa Idara ta Afya kuhakikisha wanatekeleza majukumu yao ipasanyo, pia amewataka watumishi wote wasiotimiza wajibu wao wachukuliwe hatua za kisheria ili iwe fundisho kwa watumishi wengine.

Katika kikao hicho ameshiriki  Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. Thereza Lusangija  ambaye amesisitiza watumishi kufanya kazi kwa kuzingatia taratibu, kanuni na sheria zinazoongoza utumishi wa umma.

Naye Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Dkt.Amon Mkoga  ametumia wasaa huo kuwasisitiza  watumishi wa idara ya afya kuhakikisha wanatimiza wajibu wao na kuacha kufanya kazi kwa mazoea.

Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TAHADHARI YA KIPINDUPINDU September 12, 2024
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WANAFUNZI WAHIMIZWA KUSOMA KWA BIDII

    March 21, 2025
  • MKUU WA WILAYA AHIMIZA USAWA WA KIJINSIA NA UWAJIBIKAJI

    March 06, 2025
  • WATENDAJI WATAKIWA KUONGEZA JUHUDI ZA UKUSANYAJI MAPATO

    February 27, 2025
  • KWIMBA YATOA MILIONI 607 KWA VIKUNDI 37 VYA VIJANA,WANAWAKE NA WALEMAVU

    February 21, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.