• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

HATA HUKU MAPOLINI INAWEZEKANA

Posted on: October 6th, 2025



"hata huku mapolini tunaweza kupata Mawaziri,Raisi,Walimu,Madaktari na viongozi wengine"kauli hii imesema na Ndugu John Mihayo Cheyo Mkurugenzi wa mipango na sera kutoka Ofisi ya Rais TAMISEMI ambaye alikuwa mgeni rasmi katika Mahafali ya kwanza ya Shule ya Sekondari Mihayo Cheyo iliyoko Kijiji cha Kiliwi Kata ya Bupamwa Wilayani Kwimba.

Cheyo ametumia nafasi hiyo kuwahamasisha wazazi kusomesha watoto wao na kuhakikisha kila mtoto anafikia ndoto yake huku akisisitiza kuwa kama shule imejengwa maeneo hayo basi wanafunzi wahimizwe kusoma ili wapatikane viongozi wa baadaye.

Shule ya Sekondari Mihaya Cheyo ilianza mwala 2023 ambapo wanafunzi waliokuwa wanasoma katika Shule ya Sekondari Bupamwa walihamishiwa shuleni hapa ili kuwapunguzia umbali mrefu waliokuwa wanatembea kutoka vijiji vya Kiliwi na Itegamatu ambapo walikuwa wanatembea zaidi ya kilomita 19 kwenda shule ya Bupamwa.

Akihutubia mahafali hiyo Mgeni rasmi Ndugu John Mihayo ambaye shule hii ilipewa jina lake amewaasa " namshukuru sana Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuruhusu kuleta fedha huku polini ili zijenge shule hii, pia amewashukuru na kuwapongeza wazazi wa wanafunzi ambao waliruhusu wanafunzi hao kusoma"

Naye Katibu Tarafa ya Mwamashimba amewataka wazazi kuweka kipaumbele kuwasimamia watoto wao kwenda shule ili kuondokana na changamoto ya utoro ambayo inaonekana kuwa tatizo kutokana na kukosekama muamko wa elimu.

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri Ndugu Rogatevane Kipigapas amewasihi wanafunzi hao kusoma kwa bidii na kujiandaa na mitihani ya Taifa ili wapate ufaulu mkubwa utakaokuwa kumbukumbu nzuri katika shule hiyo kwani wanafunzi hao ndio wahitimu wa kwanza.

Akisoma taarifa ya Shule hiyo Mkuu wa Shule hiyo Mwalimu Frank amesema Shule hiyo inakabiliwa na uhaba wa walimu kwani shule ina Walimu tisa tu wakiume saba na wakike wawili, pia amesisitiza kuwa pamoja na kuwa na walimu wachache wamejipanga vizuri kuhakikisha wanafunzi wao ambao ni wahitimu wa kwanza wanafaulu.


Matangazo

  • TANGAZO LA KITWA KWENYE USAILI October 14, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WASIMAMIZI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WAASWA KUZINGATIA SHERIA NA TARATIBU ZA UCHAGUZI

    October 26, 2025
  • TUNATAKA WANAWAKE WAMILIKI UCHUMI KUPITIA MIKOPO HII YA ASILIMIA KUMI

    October 24, 2025
  • WANAFUNZI WALIOMBEA TAIFA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU

    October 19, 2025
  • WANANCHI WAHAMASISHWA KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU

    October 18, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.