Kamati ya siasa ya Chama cha Mapinduzi ikiongozwa na Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kwimba Mhe. Sabana Salinje wamewapongeza wasimamizi wa miradi ya elimu, maji na Afya baada ya kufanya ziara leo Januari 31,2025 na kuridhishwa na utekelezaji wa miradi hiyo
Ngudu-Kwimba
Sanduku la Posta: P.O.BOX 88
Namba ya Simu: 0732 980528
Simu ya Kiganjani: 0732980528
Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz
Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.