• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

KAMATI YA SIASA YA CCM MKOA WA MWANZA YAIPONGEZA KWIMBA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI

Posted on: May 24th, 2024


Kamati ya siasa ya CCM Mkoa wa Mwanza ikiongozwa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa Mheshimiwa Michael Masanja imefanya ziara Wilayani Kwimba leo Mei,24,2024.


Wakikagua miradi ya ujenzi wa Shule Mpya Bumyengeja,ujenzi wa Hospitali ya Wilaya, ujenzi wa jengo la Utawala la Halmashauri, ujenzi wa kituo cha Afya Budushi na ujenzi wa Maabara na bweni Shule ya Sekondari Nyamilama wamepongeza wasimamizi wa miradi hiyo


" niwapongeze sana Mkuu wa Wilaya na Mkurugenzi  kwa usimamizi mzuri wa miradi mmefanya kazi kubwa sana miradi ni mizuri Inaubora pia thamani ya fedha inaonekana hongereni sana"  amesema Masanja


Viongozi hao wa CCM wamewapongeza wananchi wa Budushi kwa kujitoa kununua kiwanja kilichotumika kujenga kituo cha Afya  na kuchangia nguvu kazi wakati wa ujenzi wa kituo cha afya, pia amewashauri kuitunza miundombinu ya kituo hicho ili kidumu.


Akiwasilisha taarifa za miradi hiyo  Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Bi. Happiness Msanga amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hasan kwa kuleta fedha zinazotekeleza miradi hiyo.


Wananchi wa Sumve nao hawakubaki nyuma wameishukuru Serikali kwa kuwasogezea huduma za Afya pia wameipongeza Serikali kwa kujenga Shule Mpya Bumyengeja


" tunaishukuru sana Serikali kwa kujenga Shule imewasaidia watoto wetu hawatembei umbali mrefu kwenda Shule wanasoma hapa karibu" amesema Jesca Masanja


Naye Mkuu wa Wilaya ya Kwimba Mheshimiwa Ng'wilabuzu Ludigija amesema kuongezeka kwa miundombinu ya elimu kumehamasisha wanafunzi kufanya vizuri katika mitihani yao pia utoro umepungua hivyo kupelekea Kwimba kupaa kwenye matokeo ya mitihani ya Kitaifa.

Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TAHADHARI YA KIPINDUPINDU September 12, 2024
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WANAFUNZI WAHIMIZWA KUSOMA KWA BIDII

    March 21, 2025
  • MKUU WA WILAYA AHIMIZA USAWA WA KIJINSIA NA UWAJIBIKAJI

    March 06, 2025
  • WATENDAJI WATAKIWA KUONGEZA JUHUDI ZA UKUSANYAJI MAPATO

    February 27, 2025
  • KWIMBA YATOA MILIONI 607 KWA VIKUNDI 37 VYA VIJANA,WANAWAKE NA WALEMAVU

    February 21, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.