• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

KAMATI YA USALAMA YAFANYA ZIARA KUKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI

Posted on: December 10th, 2024



Mwenyekiti wa Kamati ya Usalama ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Kwimba Mhe.  Ng'wilabuzu Ludigija akiwa ameambata na kamati ya usalama wamefanya ziara ya kukagua maendeleo ya utekelezaji wa miradi.

Ziara hiyo imefanyika leo 10,Desemba  2024 ambapo miradi mbalimbali imekaguliwa ikiwa ni pamoja na mradi wa ujenzi wa nyumba ya Mwalimu katika Shule ya Sekondari Bumyengeja ambapo amewataka wasimamizi wa mradi huo kuhakikisha unakamilika kwa wakati.

Kamati hiyo Imekagua ujenzi wa mabweni katika Shule ya sekondari Sumve, ujenzi wa madalasa  shule ya msingi Samilunga na Mhulya na ujenzi wa Shule mpya ya Sekondari katika kata ya Malya.

Aidha kamati hiyo imekagua ukamilishaji wa Kituo cha afya Isunga ambapo Mheshimiwa  Ludigija  amewataka wasimamizi  kukamilisha kituo hicho kabla ya Januari  2025, Mkuu wa Wilaya amesisitiza kuwa vituo vilivyoanza kujengwa pamoja na kituo hicho vilishakamilika na vinatoa huduma lakini kituo cha Isunga bado kinasuasua

" naelekeza kuwa kabla ya Januari hiki kituo kikamilike na fedha zilizoletwa kukamilishe zitumike na kutosheleza kila kitu sitaki kusikia fedha hazitoshi wakati wengine wamejenga kwa milion 500 na zimetosha nyie mmeongezewa fedha na bado  mnasuasua" amesema

 
Akikagua miradi ya Elimu  Mheshimiwa Ludigija  ametoa wiki mbili kuhakikisha miradi ya ujenzi wa madarasa inakamilika kabla ya tarehe 25 Desemba ili shule zitakapofinguliwa wanafunzi waweze kutumia madarasa hayo.

Kamati hiyo imekagua miradi inayotekelezwa katika Jimbo la Sumve na ziara hiyo itaendelea kesho ambapo miradi inayotekelezwa katika Jimbo la Kwimba itakaguliwa.

Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TAHADHARI YA KIPINDUPINDU September 12, 2024
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WANAFUNZI WAHIMIZWA KUSOMA KWA BIDII

    March 21, 2025
  • MKUU WA WILAYA AHIMIZA USAWA WA KIJINSIA NA UWAJIBIKAJI

    March 06, 2025
  • WATENDAJI WATAKIWA KUONGEZA JUHUDI ZA UKUSANYAJI MAPATO

    February 27, 2025
  • KWIMBA YATOA MILIONI 607 KWA VIKUNDI 37 VYA VIJANA,WANAWAKE NA WALEMAVU

    February 21, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.