• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

KAMATI YA USALAMA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: September 20th, 2022

Kamati ya usalama ya Wilaya na wataalamu wa Halmashauri wakiongozwa na Mwenyekiti wa kamati hiyo Mhe. Johari Samizi Mkuu wa Wilaya ya Kwimba wamefanya ziara kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika maeneo mbalimbali ya Wilaya ya Kwimba

Katika ziara hiyo miradi mbalimbali imetembelewa ikiwa ni pamoja na miradi inayotekelezwa na TASAF ambayo ni ujenzi wa Zahanati katika kijiji cha Kilyaboya ujenzi wa madarasa matatu na matundu sita ya vyoo katika Shule ya Msingi Ng’uliku ambapo mradi utagharimu milioni 82 , ujenzi wa madarasa matatu na matundu ya vyoo katika Shule ya Msingi Mwamitinjemradi unatekelezwa kwa milioni 81 na ujenzi wa madarasa matatu na matundu ya vyoo katika Shule ya Msingi Kabale kwa milioni 80.6

Aidha kamati hiyo imekagua utekelezaji wa ujenzi wa Kituo cha Afya Kikubiji mradi unatekelezwa kwa milion 500, ujenzi wa tangi la maji lenye ujazo wa lita milion moja katika kijiji cha Hungumalwa mradi wenye gharama ya bilion 8.4 ambapo katika mradi huo tangi linajengwa, kusambaza maji kwa wakazi 5000 na kujenga ofisi na nyumba ya mlinzi. Vilevile wamekagua ujenzi wa barabara ya Mwamitinje.

Aidha vikundi vya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu vimetembelewa ambapo kikundi cha Mshikamano Ilula kilichokopeshwa milioni 15 na kikundi cha Tuinuane Sangu kilichokopeshwa milioni 7.6 wameelekezwa kurejesha mikopo hiyo kwa wakati ili waweze kukopeshwa kiasi kikubwa zaidi.

Mheshimiwa Samizi ameitumia ziara hiyo kuwaelekeza Wananchi kuendeleo kushiriki utekelezaji wa miradi, amekemea mauaji yanayoendelea kujitokeza katika maeneo mbalimbali

“ sitaki kusikia mauaji yoyote yale niwaelekeze viongozi mauaji yakitokea tutakamata wananchi wote katika kitongoji kizima” amesema Samizi

Nao Wananchi wa vijiji vyote wakiwa ni pamoja na wananchi wa kijiji cha Kilyaboya wameishukuru Serikali kwa mradi wa zahanati na wameiomba Serikali kuendelea kupeleka miradi katika kijiji hicho kwani wananchi wote wako tayari kushiriki utekelezaji wa miradi katika kijiji chao.

Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TAHADHARI YA KIPINDUPINDU September 12, 2024
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WANAFUNZI WAHIMIZWA KUSOMA KWA BIDII

    March 21, 2025
  • MKUU WA WILAYA AHIMIZA USAWA WA KIJINSIA NA UWAJIBIKAJI

    March 06, 2025
  • WATENDAJI WATAKIWA KUONGEZA JUHUDI ZA UKUSANYAJI MAPATO

    February 27, 2025
  • KWIMBA YATOA MILIONI 607 KWA VIKUNDI 37 VYA VIJANA,WANAWAKE NA WALEMAVU

    February 21, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.