• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

KAYA 9831 ZANUFAIKA NA MALIPO YA TASAF

Posted on: April 6th, 2022



Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba ni miongoni mwa Wilaya ambazo zinapokea fedha kwaajili ya malipo ya Kaya maskini. Kwa mwezi Novemba hadi Februali Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba imepokea Milioni 901.6 kwaajili ya malipo ya awamu mbili.


Katika kutekeleza malipo hayo kaya zaidi ya elfu tisa zimepokea fedha hizo malipo hayo yalifanyika kuanzia tarehe 30 Machi 2022 hadi 05 April 2022.


Wakiongea kwa nyakati tofauti walengwa wa kaya maskini wamesema fedha hizo zinawasaidia kupata mahitani ya wanafunzi na kujikimu kimaisha, vilevile fedha hiyo zimewasaidia kuanzisha miradi mbalimbali ikiwemo ufugaji wa Kuku, Mbuzi na kondoo.


Kupitia fedha hizo wapo walengwa ambao wameweza kubadilisha Nyumba zao za makazi kwa kujenga Nyumba za tofali na kuezeka kwa bati.


" Tasaf imenisaidia sana nilikua naishi kwenye nyumba ya nyasi sasa nimejenga nyumba ya tofali na nimeezeka kwa bati, naishukuru sana Serikali kwa kiendelea kutupatia fedha hizi" alisema Tabu Kwilabya


Naye Kaimu Mratibu wa Tasaf Wilaya ya Kwimba Bi. Happiness Kaali  amesema Wilaya ilipokea milioni 901.6 kwaajili ya malipo kwa kaya 9831 lakini kaya zilizopokea fedha ni 9701 huku kaya 127 zikishindwa kupokea fedha kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo  kuhama, kusafiri na sababu nyingine. 


Aidha walengwa wanaopokea fedha kwa njia ya mtandao wameonekana kufulahia huduma hiyo kwani wanapata fedha zao kwa wakati hivyo kusaidia kupata mahitaji yao kwa wakati.

Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TAHADHARI YA KIPINDUPINDU September 12, 2024
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WANAFUNZI WAHIMIZWA KUSOMA KWA BIDII

    March 21, 2025
  • MKUU WA WILAYA AHIMIZA USAWA WA KIJINSIA NA UWAJIBIKAJI

    March 06, 2025
  • WATENDAJI WATAKIWA KUONGEZA JUHUDI ZA UKUSANYAJI MAPATO

    February 27, 2025
  • KWIMBA YATOA MILIONI 607 KWA VIKUNDI 37 VYA VIJANA,WANAWAKE NA WALEMAVU

    February 21, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.