• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

KIONGOZI MWENGE WA UHURU AIPONGEZA KWIMBA KUONGEZA WIGO UKUSANYAJI MAPATO

Posted on: August 28th, 2025



Mwenge wa Uhuru leo Agosti 28, 2025 umezindua vibanda vya biashara 20 pamoja na Jengo la Famasi katika soko la Ngudu wilayani Kwimba vilivyojengwa kwa thamani ya zaidi ya Milioni 168 kama mradi wa kudumu wa ukusanyaji mapato ya ndani.

Akizindua Mradi huo Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 2025 Bw. Ismail Ali Ussi amewapongeza Viongozi wa Wilaya hiyo kwa kubuni chanzo cha kudumu cha kuongeza wigo wa ukusanyaji wa mapato kwa halmashauri hiyo.

Amesema mradi huo una tija sana  kwani kwa kupitia vyanzo kama Kodi za kupangisha, Leseni za biashara, Kodi za huduma kama Usafi na choo vitakua endelevu na kuisaidia halmashauri hiyo kukusanya fedha ambazo zitasaidia kuboresha mazingira ya soko hilo lakini pia kutekeleza miradi mingine ya huduma za jamii.

Amesema mradi huo ni miongozi mwa miradi inayoenda kuwapa hadhi Ngudu na halmashauri kwa ujumla na kuweza kupeleka hata kupandishwa hadhi kwa mji wa Ngudu hata kupata hadhi ya manispaa katika siku za usoni takribani mwaka mmoja ujao.

Akitoa taarifa kwa niaba ya Mkurugenzi, Afisa Biashara wa Halmashauri hiyo Bi. Salome Mwaipopo amesema wameamua kujenga maduka hayo ili kukusanya mapato na kwamba kwa chanzo hicho pekee wamelenga kukusanya zaidi ya Tshs. Milioni 41 kwa mwaka.

Kadhalika, Kiongozi huyo ametoa wito kwa wananchi kujiandaa kushiriki katika uchaguzi Mkuu utakaofanyika tarehe 29 Oktoba, 2025 kwa amani na utulivu kwa ajili ya kupata viongozi wazuri kwa maendeleo yao.

Awali, Mwenge wa Uhuru umekagua huduma za matumizi ya nishati safi ya kupikia pamoja na ujenzi wa bweni la wavulana katika shule ya Sekondari Ngudu vilivyogharimu zaidi ya Tshs. 175 kabla ya kutembelea mashine ya kuongeza virutubishi kwenye nafaka pamoja na mradi wa vijana washonaji.

Matangazo

  • MAKALA YA JUNI 2025 July 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • KIONGOZI MWENGE WA UHURU AIPONGEZA KWIMBA KUONGEZA WIGO UKUSANYAJI MAPATO

    August 28, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KWIMBA UKITOKEA MAGU

    August 28, 2025
  • DED MKOGA ASISITIZA WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI KUTOFICHWA

    August 21, 2025
  • MAMBO YA KUKIMBIZA SIMU KWA MTU AKUSOMEE MESEJI YAMEPITWA NA WAKATI

    August 14, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.