• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

KWIMBA YAIBUKA MSHINDI WA TATU KWENYE MAONYESHO YA NANENANE KANDA YA ZIWA MAGHARIBI AMBAYO YAMEFANYIKIA MKOA WA MWANZA.

Posted on: August 8th, 2020

Hitimisho la maonyesho ya nanenane Kanda ziwa magharibi ambayo yamefanyikia Mkoa wa Mwanza yakiwa yamejumuisha mikoa mitatu yamefungwa na Jenerali Marco Kaguti RC Kagera ambapo katika hafla hiyo halmashauri zote za mikoa ya Mwanza,Kagera na Geita zimeshindanishwa katika maonyesho yao ya kilimo na ufugaji hapo Kwimba imekuwa mshindi wa tatu hivyo kupatiwa zawadi ya cheti na kombe ambalo limepokelewa na katibu tawala wa Wilaya ya Kwimba Ndug. Ally Nyakiha.

Wakulima binafi nao hawakubaki nyuma mkulima Cosmas Sahani kutoka Kwimba amekuwa mshindi wa tatu Kati ya wakulima wote walioshiriki maonyesho na hivyo kuzawadiwa cheti na fedha.

Katika sherehe hizo mgeni rasmi Jenerali Marco amewapongeza waandaaji wa maonyesho hayo na amewapongeza wadau wote na wananchi waliojitokeza katika maonyesho ya nanenane,aidha Jenerali Marco anatamani siku moja Mkoa wa Mwanza uandae Maonyesho ya kitaifa.


Katika sherehe hiyo Mhe.Kaguta amewashauri wananchi kuifanyia kazi elimu waliyoipata katika viwanja hivyo vya nanenane Nyamongolo kuongeza teknolojia katika shughuli za kilimo na ufugaji Kama wakulima walivyoonyesha. 

Aidha Jenerali Marco amewataka wakulima kujikita katika kilimo chenye tija yaani kilimo biashara ili thamani ya kilimo iongezeke,pia amependekeza wakulima waongeze kasi kulima hasa chakula kwani soko nilakutosha kutokana mikoa hii ya Kanda ya ziwa kuzungukwa na Nchi nyingine ambazo zinaweza kuuziwa mazao yanayozalishwa hapa nchini. 

Akihitimisha hotuba yake amewataka wananchi kuunga mkono juhudi za serikali katika sekta mbalimbali hasa ya miundombinu kwani ndiyo itakayotumika kusafirisha mazao yetu, pia amesisitiza kauli mbiu ya nanenane 2020 inayosema kwa maendeleo ya kilimo, mifugo na uvuvi chagua viongozi bora 2020. 

Hivyo ameshauri wananchi kuchagua viongozi bora watakaoleta maendeleo katika Taifa letu.


Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TAHADHARI YA KIPINDUPINDU September 12, 2024
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WANAFUNZI WAHIMIZWA KUSOMA KWA BIDII

    March 21, 2025
  • MKUU WA WILAYA AHIMIZA USAWA WA KIJINSIA NA UWAJIBIKAJI

    March 06, 2025
  • WATENDAJI WATAKIWA KUONGEZA JUHUDI ZA UKUSANYAJI MAPATO

    February 27, 2025
  • KWIMBA YATOA MILIONI 607 KWA VIKUNDI 37 VYA VIJANA,WANAWAKE NA WALEMAVU

    February 21, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.