• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

KWIMBA YATOA MILIONI 607 KWA VIKUNDI 37 VYA VIJANA,WANAWAKE NA WALEMAVU

Posted on: February 21st, 2025



Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba imeendelea kuviwezesha vikundi vya vijana,wanawake na watu wenye ulemavu kwa kuwapatia mikopo isiyo na riba inayotokana na asilimia kumi ya mapato ya ndani.

Jumla ya milioni 607 zimetolewa leo Feb. 21,2025 kwa vikundi vya wanawake,vijana na watu wenye ulemavu ambao wameaswa kwenda kutumia fedha hizo kwa malengo yaliyokusudiwa

" wito wangu kwenu nendeni mkafanye kazi mlizoandika kwenye maandiko yenu ili mkaweze kuzarisha fedha hizo na muweze kujiinua kiuchumi, pia niwasisitize tu kwamba fedha hizo hazina riba lakini zinarejeshwa kwahiyo marejesho ni lazima" amesema Ludigija

Akiongea na vikundi hivyo Mkuu wa Wilaya ya Kwimba  Mhe. Ng'wilabuzu Ludigija  ambaye alikuwa mgeni rasmi katika tukio hilo amewataka watu wote waliopata mkopo huo kuwa na nidhamu ya  fedha ili waweze kutimiza malengo yao

" hakikisheni mnakuwa na nidhamu  ya fedha siyo umepewa mkopo kwaajili ya biashara wewe unaenda kutumia fedha hiyo kuoa, mkifanya hivyo mtashindwa kurejesha harafu mtaanza kukamatwa na kupelekwa polisi, niwasisitize kafanyeni kazi kurejesha ni lazima ili na wengine wapate" Ludigija

Naye Mkurugenzi  Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Dkt Amon Mkoga  amewataka wanavikundi waliopata mikopo kwenda kuendeleza miradi na kutafuta fursa za biashara maeneo mbalimbali " ombeni kufanya biashara na Halmashauri  kwamfano mnaopika chakula na kazi nyingine" amesema Mkoga

Wanavikundi waliopokea mikopo hiyo wamemshukuru Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuruhusu mikopo hiyo ikuanza  kutolewa na wameahidi kwenda kufanya kazi  iliyokusudiwa.


Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TAHADHARI YA KIPINDUPINDU September 12, 2024
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WANAFUNZI WAHIMIZWA KUSOMA KWA BIDII

    March 21, 2025
  • MKUU WA WILAYA AHIMIZA USAWA WA KIJINSIA NA UWAJIBIKAJI

    March 06, 2025
  • WATENDAJI WATAKIWA KUONGEZA JUHUDI ZA UKUSANYAJI MAPATO

    February 27, 2025
  • KWIMBA YATOA MILIONI 607 KWA VIKUNDI 37 VYA VIJANA,WANAWAKE NA WALEMAVU

    February 21, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.