• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

MAADHIMISHO YA MEIMOSI YAHAMASISHA WANANCHI KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU

Posted on: May 1st, 2025


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda Amewapongeza waandaaji wa sherehe hizo wakiongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Kwimba Mhe. Ng'wilabuzu Ludigija  kwakusimamia maandalizi yote ambapo sherehe hizo zimefanyika Kimkoa Wilayani Kwimba leo tarehe 1 Mei,2025


Mkuu huyo ameahidi kwenda kufanyia kazi changamoto zote zilizowasilishwa kwa njia ya mabango na kwenye risala.


"Serikali imefanyia kazi mambo mbalimbali kwa watumishi ikiwa ni pamoja na malimbikizo ya watumishi,madai ya watumishi kama rikizo,matibabu na watumishi  9829 wamepandishwa  madaraja" amesema Mtanda


tunaw0apongeza wafanyakazi wote waliotekeleza majukumu yao vizuri, muendelee kuchapakazi kwa bidii, muwe waadilifu na wenye kutiana moyo katika kuchapa kazi"


Pia amewataka wananchi wote ambao bado hawajajiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura zoezi ambalo limeanza leo  Mei 1, 2025 kwa Mkoa wa Mwanza kwenda kujiandikisha ili wapate haki ya kupiga kura . " uchaguzi umewadia, maandalizi yanaendelea kwahiyo kama hutajitokeza kujiorodhesha utajikosesha haki ya kupiga kura"


Naye Mkuu wa Wilaya ya Kwimba Mhe Ng'wilabuzu Ludigija amewakaribisha wafanyakazi wote wa Mkoa wa Mwanza na kuwapongeza kwa kuendelea kuwa watumishi bora wanaotekeleza majukumu yao kwa weledi.


Wakala wa usalama na afya mahali pa kazi ( OSHA) nao wakatoa rai kwa watumishi kuzingatia usalama na afya " sasa mwaswala ya usalama na afya mahali pa kazi ni jambo la lazima na la msingi" pia  amewasisitiza wafanyakazi kuchagua viongozi watakaobeba maono ya Rais ya usalama na afya ambao watachukua jambo hilo kwa uzito.


Akisoma risala katibu wa maandalizi ya sherehe hiyo amemuomba mgeni rasmi kufanyia kazi changamoto mbalimbali ikiwe kutowasilisha michango ya watumishi kwenye mifuko ya jamii jambo linalipelekea usumbufu kwa wastaafu, watumishi kutolipwa fedha za rikizo kwa wakati, pia ametoa wito kwa waajili wasiwahamishe watumishi kama hawajaandaa malipo.


Aidha ameomba mishahara iongezwe kwani hali ya gharama za maisha zinapanda kila siku lakini mishahara iko palepale, na  kikokotoo kifanyiwe kaz

Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TAHADHARI YA KIPINDUPINDU September 12, 2024
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WAZIRI MKUU AWEKA JIWE LA MSINGI JENGO LA UTAWALA LA HALMASHAURI

    May 18, 2025
  • WAUGUZI WATAKIWA KUENDELEA KUTOA HUDUMA BORA

    May 12, 2025
  • MAADHIMISHO YA MEIMOSI YAHAMASISHA WANANCHI KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU

    May 01, 2025
  • MKURUGENZI AWATAKA WATUMISHI WOTE KUFANYA KAZI KWA UPENDO NA UADILIFU

    April 28, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.