• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

MAADHIMISHO YA SIKU YA UKIMWI DUNIANI YASISITIZA KUCHAGUA NJIA SAHIHI YA KUJIKINGA

Posted on: December 1st, 2024


" Ndugu wananchi ugonjwa wa UKIMWI umekuwa ni tishio kubwa sana na Serikali imeendelea kufanya juhudu mbalimbali kuzuia ugonjwa huu kusambaa" amesema Mkuu wa Wilaya ya Kwimba Mhe.Ng'wilabuzu Ludigija  kwenye maadhimisho ya UKIMWI.


Ugonjwa huu bado haujapata tiba wala chanjo kwahiyo ni muhimu kuchukua tahadhari kujikinga na ugonjwa huu ili kuepuka athari zinazosababishwa na maambukizi ya ugonjwa huu, alisisitiza


Mhe. Ng'wilabuzu  amesema maambukizi ya ugonjwa  yameshuka kutoka asilimia 7.2 hadi 4.7 Mwanza  lakini bado hiki nikiwango kikubwa cha maambuki hivyo wananchi tuendelee kuchukua tahadhari.


Mhe. Ng'wilabuzu  Akimuwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, amewasisitiza wananchi kutowanyanyapaa watu wanaoishi na virusi

" nitoe rai kwa wazazi na walezi kuongeza juhudi katika kuwahamasisha vijana kujikinga na kutowabagua waathirika"


Amewashauri wananchi kutojificha bali wawe tayari kujitokeza kupata dawa pindi wanapojua wamepata maambukizi ya virus hiyo.

" nitumie nafas hii kuwashukuru waviu kwa kutoa risala inayoonyesha hali halisi ya watu wanaoishi na virus kwa kuendelea kuelimisha watu wengine kujitokeza kupima na kujikinga na ugonjwa wa Ukimwi.


Akiwasilisha risala  ndugu. Julias  Mwenyekiti wa watu wanaoishi na virusi vya UKIMWI Wilaya ya Kwimba amesema idara ya Afya imeendelea kuboresha mapambano dhidi ya ukimwi kwa kutoa elimu ya kujikinga na ugonjwa huo, kugawa condom kwa wananchi, kuhamasisha wananchi kupima mara kwa mara na huduma nyingine.


Maadhimisho hayo yamepambwa na matukio mbali ikiwa ni pamoja na ngoma za asili, maigizo, nyimbo za kwaya zilizohamasisha wananchi kujikinga na gonjwa la UKIMWI


Katika maadhimisho hayo huduma mbalimbali za afya zimetolewa ikiwa ni pamoja na kupima UKIMWI,kupima kansa ya kizazi, kupima presha, tohara na huduma nyingine.


Aidha wadau wa afya wameshiriki maadhimisho hayo ambapo wameonyesha huduma wanazotoa katika maeneo mbalimbali. Wadau walioshiriki maadhimisho hayo ni iCAP, Kizazi hodari, TAKUKURU na mashirika mengine.


Maashimisho haya yamekuwa na kauli mbiu inayosema " Chagua njia sahihi, tokomeza UKIMWI "

Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TAHADHARI YA KIPINDUPINDU September 12, 2024
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WANAFUNZI WAHIMIZWA KUSOMA KWA BIDII

    March 21, 2025
  • MKUU WA WILAYA AHIMIZA USAWA WA KIJINSIA NA UWAJIBIKAJI

    March 06, 2025
  • WATENDAJI WATAKIWA KUONGEZA JUHUDI ZA UKUSANYAJI MAPATO

    February 27, 2025
  • KWIMBA YATOA MILIONI 607 KWA VIKUNDI 37 VYA VIJANA,WANAWAKE NA WALEMAVU

    February 21, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.