• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

MAADHIMISHO YA SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI YASISITIZA AJIRA ZA STAHA

Posted on: May 1st, 2023


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mheshimiwa Adam Malima ametoa wito kwa waajiri wote kuhakikisha wanazingatia sheria na taratibu za kazi, ameyasema hayo leo Mei 1,2023 wakati wa maadhimisho ya sherehe ya wafanyakazi iliyofanyika kimkoa Wilayani Sengerema.


Mheshimiwa Malima amewaelekeza viongozi mbalimbali kwenda kufanyia kazi changamoto zilizowasilishwa kwenye risala ya wafanyakazi huku akiwaahidi watumishi hao kutatua changamoto zilizo ndani ya uwezo wake  na nyingine kuzifikisha mahali sahihi Ili zitatuliwe.


Mkuu huyo amewapongeza watumishi wote walioshiriki maadhimisho hayo na akasisitiza kuendelea kufanya kazi Ili kujenga nchi 


"wito wangu kwenu najua watumishi mnafanya kazi nzuri sana lakini nendeni mkaongeze juhudi zaidi katika uwajibikaji Ili tuunge mkono juhudi za Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan za kuleta maendeleo ya Taifa hili"  Malima


Sherehe za wafanyakazi Duniani huadhimishwa kila mwaka tarehe 1 Mei, Mkoa wa Mwanza umeadhimisha sherehe hizo Wilayani Sengerema ambapo watumishi wameshiriki michezo mbalimbali na watumishi hodari wamepongezwa.


Watumishi walioshiriki maadhimisho hayo wameiomba Serikali kutatua changamoto zilizoorodhesha kwenye risala yao huku wakisisitiza kauli mbiu ya sherehe hiyo ifanyiwe kazi.


Kauli mbiu "MISHAHARA BORA  NA AJIRA ZA STAHA NI NGUZO KWA MAENDELEO YA WAFANYAKAZI,WAKATI NI SASA"

Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TAHADHARI YA KIPINDUPINDU September 12, 2024
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WANAFUNZI WAHIMIZWA KUSOMA KWA BIDII

    March 21, 2025
  • MKUU WA WILAYA AHIMIZA USAWA WA KIJINSIA NA UWAJIBIKAJI

    March 06, 2025
  • WATENDAJI WATAKIWA KUONGEZA JUHUDI ZA UKUSANYAJI MAPATO

    February 27, 2025
  • KWIMBA YATOA MILIONI 607 KWA VIKUNDI 37 VYA VIJANA,WANAWAKE NA WALEMAVU

    February 21, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.