• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

MAAFISA UGANI WAKABIDHIWA PIKIPIKI

Posted on: June 25th, 2025



Mkuu wa  Wilaya ya Kwimba Mhe Ng'wilabuzu Ludigija  amekabidhi pikipiki kumi kwa maafisa ugani kwaajili ya kurahisisha kazi zao za kuwatembelea wakulima na wafugaji kwenda kuwapatia elimu ya kulima na kufuga kisasa

Akikabidhi pikipiki hizo Mkuu wa  Wilaya  amewataka kwenda kutumia vifaa hivyo kwa malengo yaliyokusudiwa na kusaidia kata zote kupata elimu ya kilimo

" tunawakabidhi  pikipiki hizi ili mkasaidie kata zote kutoa huduma ya ugani,kubwa zaidi waelimisheni wafugaji waache kufuga kwa mazoea wafuge kisasa" amesema Ludigija

Mkuu huyo amesisitiza kuwa wapo wafugaji ambao walianza kufuga wakiwa vijana hadi wamezeeka sasa wao wanajiona kama wataalamu wa mifugo hao nao waelimishwe ili waepukane na hasara inayowapata mifugo inapopatwa na magonjwa

Katika hafla hiyo ameshiriki Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Dkt.Amon Mkoga  ambaye amewataka Maafisa uganii wote waliopata vyombo hivyo kwenda kuvitumia vizuri na kuvitunza ili vidumu na viwarahisishie kazi

" nitumie fulsa hii kumshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan  kwa kutupatia pikipiki hizi ili zitusaidie kusimamia shughuli za kilimo na mifugo na kama mnavyojua mapato yetu yanategemea kilimo na mifugo kwa hiyo mwende mkazitumie vizuri hizi pikipiki ili zidumu" amesema Mkoga

Naye Afisa Mifugo Ndugu Beatus Mashinji amesema jumla  ya pikipiki 17 zimekabidhiwa kwa maafisa ugani ambapo pikipiki saba zilikabidhiwa awali na pikipiki  kumi zimekabidhi leo, " kupatika kwa pikipiki hizi kunaenda kurahisisha kazi ya ugani maana maafisa wanatakiwa wawatembelee wakulima na wafugaji ili kuwapatia elimu kwahiyo hivi vyombo vitarahisisha kazi"

Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba inaendelea kuboresha sekta ya kilimo na mifugo ili kuongeza tija kwa wakulima na kuongeza upatikanaji wa mapato.

Matangazo

  • MAKALA YA JUNI 2025 July 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • DC LUDIGIJA AHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA KUPIGA KURA SIKU YA UCHAGUZI MKUU 2025

    October 02, 2025
  • KIONGOZI MWENGE WA UHURU AIPONGEZA KWIMBA KUONGEZA WIGO UKUSANYAJI MAPATO

    August 28, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KWIMBA UKITOKEA MAGU

    August 28, 2025
  • DED MKOGA ASISITIZA WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI KUTOFICHWA

    August 21, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.