• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

MAAFISA UGANI WAPATA MAFUNZO YA KILIMO CHA KOROSHO

Posted on: December 22nd, 2020

 Taasisi ya Utafiti wa kilimo Tanzania (TARI) imefanya mafunzo kwa Maafisa ugani wa WIlaya ya Kwimba yanayohusu mbinu bora za kilimo cha Korosho,mafunzo hayo yamefanyika tarehe 21/12/2020 kwenye ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba.

Wataalamu hao wa kilimo kutoka TARI wamesema ili kuzarisha korosho bora Mkulima anapaswa kuzingatia mbinu au kanuni bora za kilimo ikiwemo uchaguzi mzuri wa shamba,matayarisho ya shamba,kutifua ardhi,kulima kwa kuzingatia vipimo sahihi vya umbali kutoka mche mmoja hadi mwingine,aina ya mbegu na mbinu nyingine. Akielezea umuhimu wa kufata kanuni hizo Ndug.Isaya Mwakabega amesema Wakulima wanatakiwa kuelekezwa kanuni hizi ili wanapoanza kulima zao hili wazalishe kwa wingi ili wapate manufaa ya zao la Korosho.


Ndug.Isaya Mwakabega Mtaalamu wa udhibiti wa magonjwa na wadudu waharibifu wa Korosho kutoka TARI Naliendele.(aliyesimama)




Ndug.Bakari Rashidi Kidunda Mratibu wa uhaulishaji wa teknolojia na mahusiano TARI Naliendele Mtwara.(aliyesimama)


Kifaa(Pump) cha kupulizia dawa kwenye miti ya Korosho.


   Vifaa vya kupimia shamba wakati wa kupanda miche ya Korosho.

Katika Wilaya ya Kwimba shughuli kuu ya kiuchumi ni kilimo cha Pamba,dengu na choroko hivyo TARI wamefanya mafunzo ya kilimo cha korosho ili zao hilo lilimwe kuona kama litastahimili hali ya hewa ya Kwimba,ikiwa zao hili litastahimili litaongeza mazao ya kiuchumi Wilayani Kwimba.Wakulima wamelipokea zao hili kwa furaha na wanayoshauku kubwa ya kuona matokeo ya zao la korosho.

Kwamujibu wa Wataalam kutoka TARI wanasema Mkulima akizingatia mbinu bora za kilimo cha zao la korosho inawezekana baada ya miaka mitatu Korosho ikaanza kutoa matunda.

Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TAHADHARI YA KIPINDUPINDU September 12, 2024
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WANAFUNZI WAHIMIZWA KUSOMA KWA BIDII

    March 21, 2025
  • MKUU WA WILAYA AHIMIZA USAWA WA KIJINSIA NA UWAJIBIKAJI

    March 06, 2025
  • WATENDAJI WATAKIWA KUONGEZA JUHUDI ZA UKUSANYAJI MAPATO

    February 27, 2025
  • KWIMBA YATOA MILIONI 607 KWA VIKUNDI 37 VYA VIJANA,WANAWAKE NA WALEMAVU

    February 21, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.