• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

MADARASA MAPYA 10 YAPUNGUZA MSONGAMANO NGUDU SEKONDARI

Posted on: October 11th, 2024


Wananchi wilayani Kwimba wameishukuru Serikali kwa mradi wa ujenzi wa miundombinu ya madarasa 10 na ofisi 4 za walimu katika shule ya sekondari Ngudu ambapo wamesema miundombinu hiyo imesaidia kupunguza msongamano wa wanafunzi madarasani.


Hayo yamejiri leo tarehe 11 Oktoba, 2024 wakati mwenge wa uhuru ulipofanya ufunguzi wa miundombinu hiyo chini ya kiongozi ndugu Godfrey Mnzava.


Akiongea baada ya ufunguzi huo, kiongozi huyo amesema Rais samia ameamua kuboresha miundombinu ya elimu nchini ili kuwa na kizazi bora cha sasa na baadaye na akatoa rai kwa wanafunzi kutunza miundombinu hiyo ili iweze kuwasaidia wao na wanafunzi wenzao siku zijazo.


Naye Mkuu wa shule hiyo Mwl. Wilbard Mchele amesema mahitaji ya miundombinu ni madarasa 31 na iliyopo ni 25 na kwamba kumekua na ongezeko kubwa la wanafunzi lililopelekea msongamano darasani hivyo ujenzi wa madarasa hayo umeondoa msongamano darasani.


"Ndugu kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru kitaifa, tunaishukuru serikali kwa kutuletea fedha hizi ambazo pamoja na kupunguza msongamano utasaidia pia kuboresha mazingira ya kufundisha na kujifunzia pamoja na kuongeza ufaulu wa wanafunzi kutokana na kuboresha mazingira." Mwalimu Mchele.

Amefafanua.


Halikadhalika, ndugu Mnzava amefungua mradi wa maji katika kijiji cha Mhulya uliotekelezwa kupitia fedha za serikali kuu (PforR) wenye uwezo wa kuzalisha lita 12,336 kwa gharama ya shilingi milioni 667.1 ambao utawanufaisha wananchi 3,147 wa kijiji hicho.


Haukuishia hapo Mwenge wa Uhuru umefungua barabara ya lami ya kilomita 1.39 yenye thamani ya bilioni 1.01,pia Mwenge umezindua vibanda 29 vya biashara vya Halmashauri katika soko la Ngudu na umekagua huduma zinazotolewa kwa wanafunzi wenye mahitaji maalumu shule ya Msingi Kakora

Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TAHADHARI YA KIPINDUPINDU September 12, 2024
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WANAFUNZI WAHIMIZWA KUSOMA KWA BIDII

    March 21, 2025
  • MKUU WA WILAYA AHIMIZA USAWA WA KIJINSIA NA UWAJIBIKAJI

    March 06, 2025
  • WATENDAJI WATAKIWA KUONGEZA JUHUDI ZA UKUSANYAJI MAPATO

    February 27, 2025
  • KWIMBA YATOA MILIONI 607 KWA VIKUNDI 37 VYA VIJANA,WANAWAKE NA WALEMAVU

    February 21, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.