• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

MADIWANI WAGEUKA MBOGO WATAKA BARABARA ZIKARABATIWE

Posted on: November 13th, 2024


Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba imefanya  Mkutano wa baraza la Madiwani robo ya Kwanza ya mwaka wa fedha 2024/25  siku ya kwanza jana Novemba  12,2024 ambapo taarifa za Kata na  taarifa za taasisi zilipo Wilayani Kwimba zimewasilishwa huku waheshimiwa madiwani wakimtaka Meneja wa TARURA kuhakikisha  barabara zilizo  haribiwa na mvua zinakarabatiwa 


" barabara  zimeharibika sana na mvua ndio zimeanza saizi na kuna maeneo mengine makalavati yameharibi na yanasababisha ajari  kwa wananchi hizi barabara zikarabatiwe" amesema Mhe. Shinje Deusi


Waheshimiwa madiwani wamemtaka meneja wa Tanesco kuhakikisha umeme unafika kwenye taasisi zote za Umma huku msisitizo ukiwa  umeme wa kila kitongoji uzingatie kila kata 


" tulipata taarifa kuwa umeme kila kitongoji Wilaya ya Kwimba tulipata vitongoji 30 kwahiyo tunaomba mgawanyo uzingatie kila jimbo na kila kata" amesema Mhe. Peter Msalaba


Aidha wameshauri miradi ya maji ambayo imetekelezwa kwa muda mrefu na haijakamilika wakandarasi wanaotekeleza miradi hiyo wachukuliwe hatua


Katika kikao hicho Mganga Mkuu wa Wilaya Dkt.Zuber  Mzige ametoa taarifa ya hari ya kipindupindu huku akisisitiza ushirikiano kwenye kutoa elimu ya kujikinga na ugonjwa wa huo


" kipindupindu kinasababishwa na uchafu, hivyo tunawaomba mnapokuwa na mikutano au mikusanyiko waambieni wananchi umuhimu wa kuzingatia usafi,kuchemsha maji ya kunywa na kunawa,kujenga vyoo na tutaanza kukagua vyoo tutakayemkuta hana choo tutamtoza faini" amesema Mzige


Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba  Dkt Amon Mkoga amesisitiza kuwa elimu iendelee kutolewa kwa wananchi ili kuondoa  maambukizi ya kipindupindu.


Akiahirisha Mkutano huo Mwenyekiti wa Halmashauri  Mhe. Thereza Lusangija  amewataka wajumbe wa mkutano huo  kwenda kufanyia kazi maelekezo yote yaliyotolewa.

Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TAHADHARI YA KIPINDUPINDU September 12, 2024
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WANAFUNZI WAHIMIZWA KUSOMA KWA BIDII

    March 21, 2025
  • MKUU WA WILAYA AHIMIZA USAWA WA KIJINSIA NA UWAJIBIKAJI

    March 06, 2025
  • WATENDAJI WATAKIWA KUONGEZA JUHUDI ZA UKUSANYAJI MAPATO

    February 27, 2025
  • KWIMBA YATOA MILIONI 607 KWA VIKUNDI 37 VYA VIJANA,WANAWAKE NA WALEMAVU

    February 21, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.