• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

MADIWANI WATAKIWA KUVIISHI VIAPO

Posted on: December 3rd, 2025


Waheshimiwa Madiwani wameaswa kuviishi viapo vya uadilifu na uwajibikaji ili kutimiza malengo ya kuwatumikia Wananchi.


Haya yamejiri kwenye Baraza la Kwanza la Madiwani lililofanyika leo 3,Desemba 2025 katika ukumbi wa Halmashauri ambapo Mwenyekiti wa Halmashauri amechaguluwa na kushinda kwa kura 42 kati ya 43


Akiongea kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Kwimba  ndugu Mohamed Ngasinda Katibu Tawala amewapongeza Madiwani wote kwa kuaminiwa na Wananchi na amempongeza Mwenyekiti  wa Halmashauri kwa kuaminiwa na Madiwani kusimamia Halmashauri, pia  amewataka kwenda kufanya kazi kwa uaminifu,weledi na kusimamia ukusanyaji wa mapato ili kufikia lengo


" mmesikia tulikotoka na tunakotakiwa kwenda hii kazi mkaifanye Waheshimiwa Madiwani tunataka mwaka huu tuvuke lengo kama tulivyovuka lengo mwaka jana" amesema Ngasinda 


Naye Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Mhe.Lameck Hole baada ya kujitwalia ushindi wa kishindo amewaomba Waheshimiwa Madiwani na Wataalamu wote kufanya kazi kwa ushirikiano huku akiahidi kwenda kufanya kazi kwa weledi na kuhakikisha Halmashauri inafikia malengo yaliyokusudiwa


Katika baraza hilo wameshiriki Wabunge wa Majimbo ya Kwimba na Sumve ambao wamewataka watumishi kwenda kutekeleza majukumu yao ili matokeo yaonekane " sisi  tumetumwa na wananchi kuja kuwasimamia watumishi, sisi hatuna mchezo kwenye kazi, tumeahidi mambo mengi kwahiyo tutawasimamia kuhakikisha shughuli zinatekelezwa na matokeo yanaonekana" amesema Mhe. Cosmas  Bulala Mbunge Jimbo la Kwimba


Akiwasilisha taarifa ya Halmashauri Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Dkt.Amon Mkoga  ameomba  ushirikiano ili  kuhakikisha ukusanyaji wa mapato unaongezeka kuvuka au kufikia lengo ambapo Halmashauri inalengo la kukusanya zaidi ya bilioni nne


" tushirikiane,  kwenye jambo lolote la maendeleo tushaurini ili tuweze kufikia malengo ya kuwafikia wananchi kwa kuchagiza maendeleo" amesema Mkoga 


Awali Mwenyekiti wa Chama cha  Mapinduzi Wilaya Mhe. Sabana Lushu amewataka  Wabunge na Madiwani kufanya kazi kwa umoja na ushirikiano  na watumishi bila kutengenezeana ajari ili wote watimize malengo.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA 2025 KWIMBA November 05, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TANGAZO LA KITWA KWENYE USAILI October 14, 2025
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WASIMAMIZI WA MIRADI WATAKIWA KUONGEZA KASI YA UTEKELEZAJI

    January 07, 2026
  • WANANCHI WAHAMASISHWA KUJIUNGA NA BIMA YA AFYA KWA WOTE

    January 05, 2026
  • WANANCHI WAHAMASISHWA KUJIUNGA NA BIMA YA AFYA KWA WOTE

    January 05, 2026
  • KWIMBA YAPANDISHA UFAULU ELIMU HADI ASILIMIA 93

    December 23, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.