• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

MAENDELEO YA KWIMBA YAJENGWA NA WANAKWIMBA

Posted on: December 18th, 2025


Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Mhe. Lameck Hole  amewataka watumishi wote wa halmashauri kuongeza ushirikiano, uwajibikaji na kasi ya utendaji ili kuhakikisha utoaji wa huduma kwa wananchi unaboreshwa na miradi ya maendeleo inatekelezwa kwa ufanisi.


Akizungumza leo 18 Desemba  2025 katika kikao maalum kilichowakutanisha Mwenyekiti wa Halmashauri, mkurugenzi mtendaji wa halmashauri pamoja na watumishi wa idara zote, Mwenyekiti amesema kuwa Halmashauri imeendelea kupiga hatua katika maeneo mbalimbali, lakini changamoto zilizopo zinahitaji nguvu ya pamoja kutoka kwa kila mtumishi

“Mafanikio ya Kwimba yanategemea uwajibikaji wa kila mmoja wenu, tunahitaji kufanya kazi kwa pamoja kwa uadilifu na kwa kasi inayokwenda sambamba na matarajio ya wananchi" amesema Hole

Pia amewataka watumishi kusimamia mipaka yao ya kazi na kuzitaka idara za mipango na manunuzi kuhakikisha wanapata taarifa kila siku kwenye maeneo yenye miradi.

Naye Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya kwimba Dkt. Amon Mkoga amemhakikishia kumpa ushirikiano pia amewataka madiwani kutoa ushirikiano hasa katika suala la utekelezaji wa miradi kwa kushiriki usimamizi ili kuongeza ufanisi na kukamilisha miradi kwa wakati

“nikuhakikishie nitakupa ushirikiano pia niwaombe madiwani  watusaidie kufuatilia taarifa za miradi na kusimamia miradi" 

Aidha, Mkurugenzi  amesisitiza  umuhimu wa matumizi sahihi ya rasilimali, ufuatiliaji wa mara kwa mara wa miradi, na utoaji wa taarifa  zinazoendana na matakwa ya kupanga maendeleo na  kuhakikisha kuwa kila idara inakuwa sehemu ya suluhisho kwa changamoto za wananchi na si chanzo cha kukwamisha maendeleo .

“Tuanze ukurasa mpya wa ushirikiano na uwazi. Kwimba ina uwezo mkubwa wa kusonga mbele ikiwa tutadumisha mshikamano na kujituma katika majukumu yetu,” Mkoga

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA 2025 KWIMBA November 05, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TANGAZO LA KITWA KWENYE USAILI October 14, 2025
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WASIMAMIZI WA MIRADI WATAKIWA KUONGEZA KASI YA UTEKELEZAJI

    January 07, 2026
  • WANANCHI WAHAMASISHWA KUJIUNGA NA BIMA YA AFYA KWA WOTE

    January 05, 2026
  • WANANCHI WAHAMASISHWA KUJIUNGA NA BIMA YA AFYA KWA WOTE

    January 05, 2026
  • KWIMBA YAPANDISHA UFAULU ELIMU HADI ASILIMIA 93

    December 23, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.