• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

MAMBO YA KUKIMBIZA SIMU KWA MTU AKUSOMEE MESEJI YAMEPITWA NA WAKATI

Posted on: August 14th, 2025



Haya yamesema na Mkuu wa Wilaya ya Kwimba Mhe. Ng'wilabuzu Ludigija  wakati akihutubia  maadhimisho ya elimu ya watu wazima yaliyofanyika leo 14,Agosti 2025 katika viwanja vya Kwideko.

Mkuu huyo amewataka wananchi kupeleka vijana wao katika vyuo vilivyopo Wilayani Kwimba ambavyo ni Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Malya, VETA, Chuo cha Michezo Malya na Chuo cha Afya Ngudu na Sumve.

Amesisitiza kuwa Serikali imepiga hatua katika kupambana na maadui watatu ukiwemo ujinga ambapo elimu inaendelea kutolewa " nimefurahi kuona wanawake watu wazima wako hapa wanajifunza kusoma na kuandika na kuhesabu hii elimu ya watu wazima inafaida sana, wito wangu tushirikiane kuhamasisha watu wapate elimu ili waondokane na ujinga na waachane na kusomewa meseji, mambo ya kukimbiza simu kwa mtu akusomee meseji yameshapitwa na wakati, jiungeni na elimu hii mpate maarifa" Ludigija

Amesisitiza  kuwa ambao hawajuwi kusoma na kuandika wanapoteza haki zao hasa za kuchaguliwa kuwa viongozi kwani ili mtu awe kiongozi anapaswa ajue kusoma na kuandika.

Pia amewahamasisha wananchi kuwa tayari kushiriki uchaguzi Mkuu utakaofanyika tarehe 29,Oktoba  2025 ili wachague viongo bora watakao ongoza na kuhamasisha shughuli za maendeleo.

Katika maadhimisho hayo ameshiri Katibu Tawala Wilaya ya Kwimba Ndugu Mohamed Ngasinda  ambaye amehamasisha Taasisi zote za Elimu kuhakikisha maadhimisho yajayo wanashiriki kikamilifu kuonyesha yale wanayofindishwa katika Taasisi zao.

Naye Mkurugenzi  Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Dkt Amon Mkoga  amewapongeza walimu wote wanaofundisha na amewahamasisha watu wote ambao hawakubahatika kupata elimu ya awali wajitokeze kujiunga kupata elimu ya watu wazima.

Akiwasilisha taarifa ya Elimu ya watu wazima Afisa Elimua ya Watu wazima Mwalimu Boniventure Ng'andiro amesema elimu ya watu wazima ni elimu inayotolewa kwa watu wazima waliokosa  fulsa ya kupata elimu  ya awali,  amesisitiza kuwa katika kuboresha elimu ya watu wazima Serikali imeanzisha vyuo mbalimbali ikiwa ni pamoja na FDC, VETA  na kuanzisha program mbalimbali shuleni ambapo watu wazima wanapata fulsa ya kujifunza na kupata ujuzi.


Matangazo

  • MAKALA YA JUNI 2025 July 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • KIONGOZI MWENGE WA UHURU AIPONGEZA KWIMBA KUONGEZA WIGO UKUSANYAJI MAPATO

    August 28, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KWIMBA UKITOKEA MAGU

    August 28, 2025
  • DED MKOGA ASISITIZA WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI KUTOFICHWA

    August 21, 2025
  • MAMBO YA KUKIMBIZA SIMU KWA MTU AKUSOMEE MESEJI YAMEPITWA NA WAKATI

    August 14, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.