• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

MAOMBI YA KUMUENZI BABA WA TAIFA

Posted on: October 14th, 2020

Viongozi wa dini toka vijiji 119 vya Wilaya ya Kwimba wamefanya maombi ya kuliombea Taifa katika kumbukizi za Baba wa Taifa Mwalimu J K Nyerere,haya yamefanyika katika ukumbi wa Shule ya Sekondari Ngudu leo tarehe 14/10/2020.

Viongozi hao wa dini wakiongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Kwimba Mhe. Senyi Saimon Ngaga wamesisitiza amani,umoja na mshikamano katika kipindi hiki cha kampeni na uchaguzi, vilevile wamesema Mwalimu J K Nyerere alituacha tukiwa wamoja bila udini wala ukabila hivyo umoja huo udumishwe. Aidha wamewashauri wananchi wote kijitokeza siku ya uchaguzi ili wakachague viongozi wanaowapenda kwa manufaa ya Taifa.


Katika hafla hiyo Mkuu wa Wilaya amesisitiza Swala la kumuenzi Baba wa Taifa ili vizazi vijavyo viweze kuutambua mchango wake mkubwa katika Taifa hili.Pia amewashukuru viongozi wa dini kwa ushirikiano wanaouonyesha katika shughuli mbalimbali za Wilaya hii,vilevile amewashauri wananchi wote kujitokeza siku ya uchaguzi kwenda kupiga kura kuchagua viongozi bora kwa maendeleo ya Taifa letu. 

Mkuu wa Wilaya akiongea na viongozi wa dini


Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Kwimba Bib. Pendo Malabeja naye amewaomba viongozi wa dini kuendelea kuliombea Taifa letu ili uchaguzi uishe kwa amani na utulivu na viongozi bora wapatikane pia amewaomba wananchi wote kuendeleza mazuri yote aliyotuachia Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.


Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Kwimba Bib. Pendo Malabeja akiwashukuru viongozi wa dini kwa kuliombea Taifa.


Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TAHADHARI YA KIPINDUPINDU September 12, 2024
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WANAFUNZI WAHIMIZWA KUSOMA KWA BIDII

    March 21, 2025
  • MKUU WA WILAYA AHIMIZA USAWA WA KIJINSIA NA UWAJIBIKAJI

    March 06, 2025
  • WATENDAJI WATAKIWA KUONGEZA JUHUDI ZA UKUSANYAJI MAPATO

    February 27, 2025
  • KWIMBA YATOA MILIONI 607 KWA VIKUNDI 37 VYA VIJANA,WANAWAKE NA WALEMAVU

    February 21, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.