• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

MAONESHO YA NANENANE KANDA YA ZIWA YAZINDULIWA

Posted on: August 3rd, 2025


Mkuu wa Wilaya ya Geita Mheshimiwa  Hashimu  Komba akimuwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Geita amefungua maonesho ya saba ya Nanenane kanda ya ziwa magharibi huku akiwapongeza makatibu Tawala wa Mkoa ya Geita na Mwanza kwa kufanya maandalizi mazuri ya maonesho hayo.

" haya ni maonesho yanayozikutanisha sekta muhimu za kilimo,mifugo nauvuvi, wananchi wetu wengi wanategemea kilimo kwa hiyo maonesho haya yanawasaidia wananchi wetu kujifunza ukuaji wa teknolojia unavyoongeza tija kwenye kilimomo, mifugo na uvuvi"

Ametumia wasaa hu kuwasihi wananchi wote kutembelea mabanda ili wakapate elimu ya pembejeo bora, na elimu bora ya kilimo,mifugo,uvuvi  na elimu ya kusindikika mazao.

Mkuu huyo ametumia kauli mbiu ya nanenane inayosema " chagua viongozi bora kwa maendeleo ya kilimo,mifugo na uvuvi" kuhamasisha wananchi kwenda kuchagua viongozi bora watakaoleta ubunifu na mabadiliko katika kilimo,mifugo na uvuvi"

 Pia ametoa rai kwa mamlaka za Serikali za mitaa kutumia vyema mikopo ya asilimia kumi kwa vikundi vinavyojihusisha na sekta za kilimo,mifugo na uvuvi ili kuongeza ajira kwa vijana.

Akitoa taarifa ya maandalizi katibu Tawala msaidizi Mkoa wa Mwanza  Peter amesema Wakulima na wananchi wanapata fulsa na kuona hudumaa zinazotolewa na wanajifunza jinsi teknolojia inavyoboresha sekta hizo.

Halmashauri 14 zinashiriki maonesho ya nanenane kanda ya ziwa maghalibi ambapo mwitikio wa wananchi ni mkubwa.

Naye mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Christopha Ngubiagai amesema " maazimisho ya nanenane yanaendelea kuwa jukwaa zuri kwa kuonesha ubunifi na teknolojia katika sekta ya kilimo

Maonesha haya yanaendelea kuwahamasisha wananchi kulima kisasa na kufuga ufugaji wenye tija, pia amehamasisha ubunifu katika shughuli za kilimo uongezeke zaidi ili wakulima waweze kunufaika zaidi.

Aidha amezipongeza taasisi zote zinazoshiriki maonesho hayo"ninazipongeza taasisi zote zinazoonesha mbegu mbalimbali zikiwemo mbegu za migomba"

Katika uzinduzi huo ameshiriki Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kwimba Dkt Amon Mkoga ambaye anawakarisha wananchi kutembelea banda la Kwimba ili kujifunza kilimo na ufugaj

Matangazo

  • MAKALA YA JUNI 2025 July 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • DC LUDIGIJA AHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA KUPIGA KURA SIKU YA UCHAGUZI MKUU 2025

    October 02, 2025
  • KIONGOZI MWENGE WA UHURU AIPONGEZA KWIMBA KUONGEZA WIGO UKUSANYAJI MAPATO

    August 28, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KWIMBA UKITOKEA MAGU

    August 28, 2025
  • DED MKOGA ASISITIZA WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI KUTOFICHWA

    August 21, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.