• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

MILIONI 700 ZINATARAJIWA KUTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU

Posted on: January 21st, 2025



Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba inaendelea kutoa mafunzo kwa vikundi vilivyoomba mikopo isiyo na riba ya fedha zinazotokana na asilimia kumi ya mapato ya ndani, leo Januari 21,2025 mafunzo ya namna bora ya kwenda kutumia fedha hizo yametolewa kwa vikundi 37 vinavyotarajia kukopeshwa milioni 607.

Akifungua mafunzo hayo Katibu Tawala wa Wilaya ndugu Mohamed Ngasinda amewataka wajasiliamali  hao kwenda kutumia fedha hizo kwa malengo yaliyokusudiwa

" mimi niwapongeze kwasababu mmejidhatiti kwenda kutumia huu mkopo maana tumekagua kazi zunu mnajitahidi, sasa niwasisitize kwenda kutimiza lengo la fedha hizi, hizi fedha siyo msaada, hii nimikopo haina riba kwahiyo kazi yako ni kwenda kuzarisha na kurejesha  ili na wengine wakopeshwe" Ngasinda

Akitoa taarifa fupi ya utekelezaji wa shughuli hiyo Afisa maendeleo wa Wilaya Bi. Rozalia Magoti  amewataka wote watakaokopeshwa kuwa waaminifu katika kurejesha fedha hizo

" hatutegemei vikundi hivi kukamatwa na polisi kwasababu ya kushindwa kurejesha, mafunzo tumewapa kafanyeni kazi, zarisheni na mrejeshe kwa wakati" Magoti

Katika mafunzo hayo ameshiriki Kamanda wa TAKUKURU Kwimba ndugu Juliani Agustine ambaye amevitaka vikundi vyote kutoa taarifa pindi watakapoombwa rushwa na mtu yeyote.

Naye muwakilishi wa jeshi la Polisi Kamanda Deocres Mkandala amewashauri kuzingatia maandiko yao ya biashara ili kwenda kutumia fedha kwa lengo lililokusudiwa, na kurejesha fedha hizo kwa wakati ili kuepusha usumbufu unaoweza kujitokeza.

Vikundi 37 kati ya 70 vimekidhi vigezo vya kupewa mikopo hiyo huku vikundi vilivyosalia vikishauriwa kwenda kuboresha taarifa zao na kuweka sawa miradi yao ili vikopeshwe awamu itakayofuata.

Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TAHADHARI YA KIPINDUPINDU September 12, 2024
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WANAFUNZI WAHIMIZWA KUSOMA KWA BIDII

    March 21, 2025
  • MKUU WA WILAYA AHIMIZA USAWA WA KIJINSIA NA UWAJIBIKAJI

    March 06, 2025
  • WATENDAJI WATAKIWA KUONGEZA JUHUDI ZA UKUSANYAJI MAPATO

    February 27, 2025
  • KWIMBA YATOA MILIONI 607 KWA VIKUNDI 37 VYA VIJANA,WANAWAKE NA WALEMAVU

    February 21, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.