• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

MKOGA ATOA SIKU TANO MRADI WA MWANEKEYI UANZE KUTEKELEZWA

Posted on: November 12th, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Dkt. Amon Mkoga ametoa siku tano kwa wasimamizi wa mradi wa ujenzi wa madarasa Mwanekeyi kuhakikisha ujenzi huo unaanza kutekelezwa mara moja
"nawapa siku tano kuhakikisha miradi yote ujenzi wake unafanyika kuanzia sasa, baada ya siku tano nitarudi hapa Mwanekeyi kukagua mradi huu “ amesema Mkoga

Ameyasema hayo Novemba 12, 2025 wakati akifanya ziara ya Kata kwa Kata kukagua maendeleo ya utekelezaji wa miradi mbalimbali inayotekelezwa katika Kata zote za Kwimba ikiwemo ujenzi wa Shule mpya za Msingi na Sekondari na ujenzi wa vituo vya Afya na Zahanati.

Pia amewataka wasimamimizi wa miradi ngazi ya Kata kuwafichua watu wanaokwamisha utekelezaji wa miradi hiyo ili waweze kuchukuliwa hatua za kisheria

Aidha amewapongeza wasimamizi wa miradi ya ujenzi wa madarasa katika shule ya sekondari walla iliyopo Kata ya Walla na shule ya msingi chamva iliyopo kata ya Nkalalo na kuwataka kuongeza juhudi zaidi ili kukamilisha miradi kwa wakati.

Vilevile ametumia ziara hiyo kuongea na watumishi wa Kata ya Walla na Nkalalo ambapo amewasisitiza kufanya kazi kwa bidii na kuhakikisha wanatimiza wajibu wao.


Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA 2025 KWIMBA November 05, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TANGAZO LA KITWA KWENYE USAILI October 14, 2025
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • KAIMU MKURUGENZI AFUNGUA MAFUNZO YA MPANGO NA BAJETI

    November 27, 2025
  • DAS AKABIDHI PIKIPIKI KWA MAAFISA UGANI

    November 25, 2025
  • WATUMISHI AJIRA MPYA WAASWA KUZINGATIA KANUNI ZA UTUMISHI WA UMMA

    November 24, 2025
  • SERIKALI YASEMA UPELELEZI UNAENDELEA KUJUA CHANZO CHA MOTO SUMVE

    November 22, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.