• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

MKULIMA KUTOKA KWIMBA AIBUKA MSHINDI WA KWANZA ZAO LA PAMBALA PAMBA

Posted on: August 8th, 2025



Katika kuhitimisha sherehe za wakulima nanenane wakulima wa mazao mbalimbali wameshindanishwa kutokana na vigezovilivyowekwa na kamati ya maandalizi ya ya sherehe ambapo Mkulima kutoka Kwimba Ndugu Ngulimi John Zakalia amekuwa mshindi wa kwanza katika kipengele cha mkulima bora wa zao la Pamba

Akiwasilisha taarifa ya maonesho ya nanenane Mkuu wa sekisheni ya uchumi Mkoa wa Mwanza Ndugu Peter  Masele amesema  haya ni maonesho ya saba ya kanda ya ziwa magharibi  ambapo wadau mbalimbali wameshiriki maonesho hayo zikiwemo taasisi mbalimbali za Serikali na binafsi, pamoja na wajasiliamali, "tunaamini kuwa maonesho haya washiriki watayatumia vyema kuongeza tija katika shughuli za kilimo,mifugo na uvuvi"

Mheshimiwa Martin Shigela Mkuu wa Mkoa wa Geita akimkaribisha mgeni rasmi wa sherehe hizo amesema maonesho yamefana sana kuliko mwaka jana pia amewashukuru wananchi kwa kushiriki maonesho hayo.

Aidha amemshukuru Rais kwa kuwezesha wananchi kupata pembejeo na vifaa vingine vya kilimo ikiwemo mbolea ya ruzuku ambayo imechangia kuongeza uzalishaji kwa wakulima.

Mgeni rasmi wa sherehe hiyo Mheshimiwa  Saidi Mtanda Mkuu wa Mkoa wa Mwanza  akihitimisha maonesho hayo amesema

" nimefanikiwa kupita kwenye mabanda nimeona na kujifunza teknolojia mbalimbali, hata mimi ni mkulima na nimenufaika na maonesho haya, twende tukatumie elimu tuliyoipata hapa kuboresha uzalishaji katika kilimo,mifugo na uvuvi"

Pia amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan  kwa kutoa fedha kwaajili ya chanjo ya kuku na chanjo ya mifugo mingine.

Amesisitiza kuwa sekta ya kilimo ndio imeajili watu wengi hivyo ni eneo nyeti ndiyo maana Serikali imewekaza katika sekata hii ili kuboresha uchumi wa watu  wengi

Pia ametumia kauli mbiu ya  maonesho hayo inayosema " chagua kiongozi bora kwa maendeleo ya kilimo,mifugo na uvuvi" kuwahamasisha wananchi  wote  kujitokeza kupiga kura ifikapo  Oktoba 2025 ili kuchagua viongozi bora watakaohamasisha maendeleo ya kilimo mifugo na uvuvi.

Matangazo

  • MAKALA YA JUNI 2025 July 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • DC LUDIGIJA AHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA KUPIGA KURA SIKU YA UCHAGUZI MKUU 2025

    October 02, 2025
  • KIONGOZI MWENGE WA UHURU AIPONGEZA KWIMBA KUONGEZA WIGO UKUSANYAJI MAPATO

    August 28, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KWIMBA UKITOKEA MAGU

    August 28, 2025
  • DED MKOGA ASISITIZA WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI KUTOFICHWA

    August 21, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.