• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

MKURUGENZI AWAPA ONYO WANAOKWAMISHA UTEKELEZAJI WA MIRADI

Posted on: November 3rd, 2024


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba  Dkt.Amon Mkoga  amewataka wasimamizi wa miradi ya maendeleo kuhakikisha wanatekeleza majukumu yao kwa weledi.


Haya yamejiri jana Novemba  2,2024 wakati akikagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo inayotekelezwa jimbo la Kwimba


" kila mtu atimize wajibu wake staki kusikia eti mradi umekwa wakati Serikali imetoa fedha, anayekwamisha mradi nitamchukulia hatua kali" amesema Mkoga


Katika ziara hiyo miradi mbalimbali imekaguliwa ikiwa ni pamoja na miradi ya elimu,Afya na utawala ambapo kasi ya utekelezaji wa miradi imetakiwa kuongezwa ili miradi yote  ikamilike kwa wakati.


Miradi ya elimu iliyokaguliwa ni ujenzi wa mabweni shule ya sekondari Nyamilama, ujenzi wa shule ya msingi shikizi Nyanhiga, ujenzi wa madarasa shule ya msingi Ilula, ujenzi wa madarasa matatu shule ya msingi Shigangama,ujenzi wa choo shule ya sekondari  Shilembo, ukamilishaji wa darasa  shule ya msingi Kawekamo,ukamilishaji wa darasa shule ya Sekondari  Mwamashimba,  ujenzi wa madarasa matatu shule ya msingi Mwang'anga, ujenzi wa vyoo shule ya msingi Mwamitinje, ujenzi wa madarasa  shule ya msingi Chasalawi na Kiliwi, ujenzi wa madarasa shule ya Msingi  Buyogo, Ujenzi wa Shule mpya ya Sekondari Kabale Ng'undi na ujenzi wa shule mpya ya msingi ya mchepuo wa kiingeleza Icheja.


Miradi ya Afya iliyokaguliwa ni ujenzi wa tenkila maji na choo zahanati ya Kibitilwa, ukamilishaji wa zahanati  ya Manguluma,ukamilishaji wa jengo la kusubiria wagonjwa katika hospitali ya Wilaya( icheja) na mradi wa utawala uliokaguliwa ni jengo la  utawala la Halmashauri linalojengwa icheja Ngudu.

Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TAHADHARI YA KIPINDUPINDU September 12, 2024
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WANAFUNZI WAHIMIZWA KUSOMA KWA BIDII

    March 21, 2025
  • MKUU WA WILAYA AHIMIZA USAWA WA KIJINSIA NA UWAJIBIKAJI

    March 06, 2025
  • WATENDAJI WATAKIWA KUONGEZA JUHUDI ZA UKUSANYAJI MAPATO

    February 27, 2025
  • KWIMBA YATOA MILIONI 607 KWA VIKUNDI 37 VYA VIJANA,WANAWAKE NA WALEMAVU

    February 21, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.