• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

MKURUGENZI AFUNGUA MAFUNZO YA MEWAKA

Posted on: June 19th, 2023



Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Bi.Happiness Msanga amefungua mafunzo endelevu kwa Walimu MEWAKA yanayotarajiwa kufanyika kuanzia leo Juni 19 hadi Juni 22,2023 katika Shule ya Msingi Kakora.


Akifungia mafunzo hayo Mkurugenzi amewataka Walimu kushiriki kikamilifu Ili kupata Elimu iliyokusudiwa kuwafikia Walimu wote.

" Mafunzo haya yamekuja kwa wakati mwafaka, mnaenda kujifunza mbinu za ufundishaji, matumizi ya teknolojia katika kuboresha Elimu, lakini pia mtajifunza matumizi sahihi ya kishikwambi"


Amewasiitiza Walimu hao kujifunza kwa umakini Ili kwenda kuwa mabalozi kwa Walimu ambao hawajapata nafasi ya kushiriki mafunzo hayo, kwani Kila Shule wameshiriki Walimu wawili ambao watakwenda kuwafundisha Walimu wengine


Pia amesisitiza kutumia teknolojia kwa malengo sahihi ya kuboresha ufundishaji na ujifunzaji " tutumie teknolojia kwa kuongeza taaluma, vishikwambi vitumike kusaidia kuboresha Elimu"


Bi. Happiness amesisitiza nidhamu kwa walimu wote shuleni na mtamani" nidhamu ikipungua tu kila kitu kinaharibika kwahiyo mzingatie nidhamu"


Akiwasilisha taarifa ya mafunzo hayo mratibu wa MEWAKA Bi. Suzana Raphael amesema MEWAKA ni mafunzo endelevu ya Walimu kazini ni mkakati wa utekelezaji wa kihunzi cha mewaka kilichoandaliwa na wizara ya Elimu ili kuimarisha ufundishaji na ujifunzaji katika Shule za msingi. Lengo la mafunzo hayo ni kuongeza ujuzi,ufanisi na kutekeleza mtaala unaozingatia ujenzi wa umahiri kwa walimu.

Walimu wanaoshiriki mafunzo hayo wameishukuru Serikali kwa kuleta mafunzo hayo na wameahidi kwenda kuyafanyia kazi" tutafuatilia mafunzo haya vizuri na baada yamafunzo sisi ndio tunakwenda kuwafundisha wengine kwahiyo tutayazingatia " Bernad Njelekela Nolascus





Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TAHADHARI YA KIPINDUPINDU September 12, 2024
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WANAFUNZI WAHIMIZWA KUSOMA KWA BIDII

    March 21, 2025
  • MKUU WA WILAYA AHIMIZA USAWA WA KIJINSIA NA UWAJIBIKAJI

    March 06, 2025
  • WATENDAJI WATAKIWA KUONGEZA JUHUDI ZA UKUSANYAJI MAPATO

    February 27, 2025
  • KWIMBA YATOA MILIONI 607 KWA VIKUNDI 37 VYA VIJANA,WANAWAKE NA WALEMAVU

    February 21, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.