• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

MKUU WA MKOA WA MWANZA ASIKILIZA KERO ZA WANANCHI WA KWIMBA

Posted on: November 27th, 2023



 Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. CPA Amos Makalla Leo Novemba 27,2023 amefanya ziara Wilayani Kwimba kwenye  viwanja vya Stendi ya zamani Ngudu kusikiliza na kutatua kero za Wananchi.


Akifungua mkutano wake Mhe. Makalla amebainisha kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan inawajali sana wananchi wa Kwimba kwani imeleta Miradi lukuki ya Maendeleo ukiwemo Ujenzi wa Barabara ya Lami ya Kwimba -Magu (Km 10).


Ameongeza kuwa pamoja na ujenzi wa Barabara hiyo ambayo mkandarasi ameshapatikana, Iko miradi mingi inayoendelea kutekelezwa ikiwa ni pamoja na mradi wa maji Sumve, mradi wa maji Hungumalwa wenye bilioni kumi na miradi mingine.


Hata hivyo, Mkuu wa Mkoa ameonesha kutokua na imani na Mkandarasi anayejenga jengo la kisasa la Makao Makuu ya Halmashauri kutokana na kusuasua katika ujenzi wake pamoja na uwepo wa fedha za ujenzi ambazo ameshapatiwa na kumtaka kujitafakari kabla hajachukua maamuzi mengine.


Aidha, amewataka watendaji wa idara ya ardhi na wengine halmashauri hadi kwenye ngazi za vijiji kuwa na ratiba yenye tija ya kusikiliza na kutatua kero za wananchi kwa wakati na kuhakikisha migogoro hususani ya ardhi inakomeshwa.


Awali Mkuu wa Wilaya hiyo Mhe. Ng'wilabuzu Ludigija alifafanua kuwa ameshawasikiliza zaidi ya wananchi 400 na kwamba amebaini kuwa sekta ya ardhi imekua na migogoro zaidi hususani inayosababishwa na Mashamba ya urithi hivyo amewataka wananchi kufuata taratibu kwenye kuridhi mali ili kuepusha adha hizo.


Mheshimiwa Makalla ametatua kero mbalimbali zikiwemo kero za ardhi, wastaafu, maji, umeme,barabara na kero nyingine.



Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TAHADHARI YA KIPINDUPINDU September 12, 2024
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WANAFUNZI WAHIMIZWA KUSOMA KWA BIDII

    March 21, 2025
  • MKUU WA WILAYA AHIMIZA USAWA WA KIJINSIA NA UWAJIBIKAJI

    March 06, 2025
  • WATENDAJI WATAKIWA KUONGEZA JUHUDI ZA UKUSANYAJI MAPATO

    February 27, 2025
  • KWIMBA YATOA MILIONI 607 KWA VIKUNDI 37 VYA VIJANA,WANAWAKE NA WALEMAVU

    February 21, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.