• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

MKUU WA WILAYA AHIMIZA USAWA WA KIJINSIA NA UWAJIBIKAJI

Posted on: March 6th, 2025



Mkuu wa Wilaya ya Kwimba Mhe Ng'wilabuzu Ludigija amewahimiza wananchi wote kutekeleza majukumu kwa kuzingatia usawa wa kijinsia, ameyasema hayo leo Machi 6,2025 katika maadhimisho ya siku ya wanawake ambayo kiwilaya yamefanyika Kata ya Sumve.

" niwapongeze wanawake mnaofanya kazi kama mlivyoonyesha hapo kazi zenu, tunatamani kuona wanawake wanafanya kazi za kiuchumi ndiyo maana Serikali inawapatia mikopo ili mfanye ujasiliamari  muinuke kiuchumi"

Mkuu huyo amesisitiza  kuwa Serikali inafanya juhudi kubwa za kumuinua mtoto wa kike kwa kuhakikisha anapata elimu bora kwa kuweka miundombinu wezeshi kama mabweni na hosteli ili waweze kusoma bila kupata changamoto zinazosababishwa na kutembea umbali mrefu kufuata shule.

Aidha ametumia maadhimisho hayo kuwataka wanawake kupaza sauti pindi wanapoona watoto wa kike wanaozeshwa katika umri mdogo " kuweni mabalozi ukiona mtoto wako anaozeshwa katika umri mdogo kisa Baba anataka ng'ombe toa taarifa msikae kimya watoto hao wanahaki ya kusoma na kutimiza ndoto zao" amesema  Ludigija

Katika maadhimisho hayo ameshiriki Mkurugenzi  Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Dkt Amon Mkoga ambaye amewasisitiza wanawake kuunga juhudi za Mheshimiwa  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  kwa kuanza kutumia nishati safi ya kupikia ili kutunza mazingira na kuondokana na athari za mabadiliko ya tabia ya nchi.

Naye Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. Thereza Lusangija  amewapongeza wanawake walioshiriki maadhimisho hayo na amewataka wanawake wote kuwa walinzi wa watoto wao kwa kuhakikisha watoto hawafanyiwi ukatili wa aina yoyote ile.

Akiongea kwa niaba ya Katibu wa CCM Wilaya  Ndugu  Ramadhan Omary amewashauri wanawake wote kujitokeza kugombea nafasi za uongozi
" wanawake wote kipindi hiki ni chakwenu, kupitia Rais  tumewaamini kuwa mnaweza nafasi za uongozi,niwaombe wanawake mlioko hapa kipenga kikipigwa cha uchaguzi jitokezeni mkagombee nafasi mbalimbali"

Akisoma risala Bi. Lucia Malisa Afisa Maendeleo ya Jamii amesema maadhimisho ya wanawake yanafanyika kila mwaka Machi,8 ambapo kauli mbiu ya mwaka "wanawake na wasichana 2025 tuimarishe haki,usawa na uwezeshaji"

Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TAHADHARI YA KIPINDUPINDU September 12, 2024
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WANAFUNZI WAHIMIZWA KUSOMA KWA BIDII

    March 21, 2025
  • MKUU WA WILAYA AHIMIZA USAWA WA KIJINSIA NA UWAJIBIKAJI

    March 06, 2025
  • WATENDAJI WATAKIWA KUONGEZA JUHUDI ZA UKUSANYAJI MAPATO

    February 27, 2025
  • KWIMBA YATOA MILIONI 607 KWA VIKUNDI 37 VYA VIJANA,WANAWAKE NA WALEMAVU

    February 21, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.