• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

MKUU WA WILAYA ATOA MWEZI MMOJA KITUO CHA AFYA KIKUBIJI KIANZE KUTOA HUDUMA

Posted on: December 12th, 2024



Mkuu wa Wilaya ya Kwimba Mhe. Ng'wilabuzu Ludigija amewataka wasimamizi wa mradi wa ujenzi wa Kituo cha Afya Kikubiji kuhakikisha kituo kinaanza kutoa huduma kwa wananchi kabla ya Januari 18,2025.

Ameyasema hayo wakati akifanya ziara ya kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika jimbo la Kwimba " kituo hiki kianze kutoa huduma za nje kwasababu jengo la wagonjwa wa nje (OPD) na Maabara  yameshakamilika kwahiyo yatumike, Januari nikirudi hapa nikitu huduma zilishaanza kutolewa" Ludigija

Mkuu huyo amekagua majengo ya Kituo cha afya Hungumalwa ambapo ameelekeza jengo la upasuaji lianze kutoa huduma kwani vifaa vilivyokuwa vinakwamisha huduma hiyo vilishapatikana.

Aidha Mkuu wa Wilaya  amekagua miradi ya elimu ikiwa ni pamoja na ujenzi wa madarasa shule ya msingi Chasalawi ,Kiliwi, Buyogo na ujenzi wa shule shikizi  Nyanhiga, pia  amekagua ujenzi wa mabweni na madarasa Shule ya Sekondari  Mihaya Cheyo na Bupamwa ambapo amewataka wasimamizi wa miradi hiyo kuongeza kasi ya utekelezaji ili miradi hiyo ikamilike kwa wakati.

Akihitimisha ziara hiyo Mhe. Ludigija  amewapongeza wananchi wa Kitongoji cha Mwasolwe  Kijiji cha Nyanigha Kata ya Mwakilyambiti kwa kuanzisha ujenzi wa shule mpya kwaajili ya kuwasaidia wanafunzi kupata elimu karibu na makazi yao

" niwapongeze wananchi wote wa kitongoji hiki cha Mwasolwe mmefanya kazi nzuri ya kuanzisha shule lakini hata mlipopata fedha za kukamilisha mmesimamia vizuri majengo haya yanakaribia kukamilika hongereni sana" Ludigija

Naye Diwani wa Kata ya Mwakilyambiti Mhe. Deborah  Lameck ameishukuru Serikali kwa kuwapatia fedha za kukamilisha madarasa ya shule hiyo iliyoanzishwa na Wananchi.

Wananchi waliokuwepo kwenye miradi hiyo wamemshukuru Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  kwa kuendelea kuleta fedha za kutekeleza miradi Wilayani Kwimba na wameahidi kuendelea kutoa ushirikiano katika utekelezaji wa miradi hiyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TAHADHARI YA KIPINDUPINDU September 12, 2024
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WANAFUNZI WAHIMIZWA KUSOMA KWA BIDII

    March 21, 2025
  • MKUU WA WILAYA AHIMIZA USAWA WA KIJINSIA NA UWAJIBIKAJI

    March 06, 2025
  • WATENDAJI WATAKIWA KUONGEZA JUHUDI ZA UKUSANYAJI MAPATO

    February 27, 2025
  • KWIMBA YATOA MILIONI 607 KWA VIKUNDI 37 VYA VIJANA,WANAWAKE NA WALEMAVU

    February 21, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.