• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

MWENYEKITI APEWA MWEZI MMOJA KUREJESHA FEDHA YA KIJIJI ALIYOTUMIA

Posted on: July 23rd, 2025



Mkuu wa Wilaya ya Kwimba Mhe Ng'wilabuzu Ludigija  amemtaka Mwenyekiti wa Kijiji cha Igunguhya Ngudu. Godfrey Singano Salum kurejesha shilingi 500,000 fedha ya kijiji aliyoitumia kwa matumizi yake binafsi

" Mwenyekiti nakupa mwezi mmoja leo ni tarehe 23,Julai 2025 ikifika tarehe 23,Agosti 2025 hiyo fedha ikabidhiwe kwa kijiji la sivyo hatuaza kisheria zitachukuliwa dhidi  yako" Dc Ludigija

Haya yametokea kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika kijiji hicho ambapo Mkuu wa Wilaya alikuwa akisikiliza na kutatua kero za Wananchi.

Mkuu huyo amewasisitiza wananchi wa kijiji hicho kuanzisha ujenzi wa  Zahanati kwani wananchi wametoa kero hiyo ya kupata  huduma za afya katika vijiji jirani ambako kuna umbali kutoka kijiji hicho.

Pia amewataka wasimamizi wa maji kuhakikisha wanafanya matengenezo ya mabomba mapema pindi wanapopata taarifa ya mabomba kuvuja.

Wananchi wameiomba  Serikali kutengeneza barabara za vitongoji ili kuondoa kero inayowapata hasa wanafunzi kufikia shule ya Msingi Kabale

"tunaomba barabara ijengwe ya kutoka nkonze kwenda Shule ya Msingi Igunguhya na barabara ya kutoka Mwasubi  kwenda Shule ya Msingi na Sekondari  Kabale" amesema Fausti Mathias

Wananchi wamehamasishwa kushiriki uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba " tunzeni vitambulisho ili mwezi wa kumi mkapige kura mchague viongozi watakaohamasisha maendeleo, acheni tabia za kusema fulani atapita harafu hamuendi kupiga kura" Ludigija

Pia amewasisitiza wananchi hasa wanawake  kuhudhulia kliniki wanapokuwa wajawazito ili kuepusha vifo vya mama na mtoto vinavyosababishwa na wanawake kutojifungulia hospitali.

 Aidha Mkuu wa wilaya amekemea tabia za baadhi ya wananchi kuozesha watoto ambao wanatakiwa kusoma

" ni malufuku kuozesha watoto wadogo hao wanatakiwa waende shule, nawaelekeza watendaji msimamie hili yeyote atakayebainika anaozesha watoto,anawapa kazi za biashara watoto badara ya kuwapeleka shule toeni taarifa"

Naye Mkuu wa Polisi Wilaya ya Kwimba  Deocres Mkandala  amewataka wananchi kuacha kufanya ukatili kwa wanawake na watoto, na kutoa taarifa anapobainika mtu anayefanya ukatili kwa watu wengine.

Matangazo

  • MAKALA YA JUNI 2025 July 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • DC LUDIGIJA AHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA KUPIGA KURA SIKU YA UCHAGUZI MKUU 2025

    October 02, 2025
  • KIONGOZI MWENGE WA UHURU AIPONGEZA KWIMBA KUONGEZA WIGO UKUSANYAJI MAPATO

    August 28, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KWIMBA UKITOKEA MAGU

    August 28, 2025
  • DED MKOGA ASISITIZA WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI KUTOFICHWA

    August 21, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.