• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

RAIS AFUNGUA DARAJA LA JP MAGUFULI KIGONGO-BUSISI

Posted on: June 19th, 2025



Leo historia imeandikwa kwa Wananchi  wa Mkoa Mwanza na Tanzania kwa ujumla kwani daraja lenye urefu wa kilomita 3 ambalo ni la kwanza kwa ukubwa Afrika Mashariki na Kati  limezunduliwa leo 19, Juni 2025 na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan

" leo kwa mara ya kwanza tumefungua daraja la  JP Magufuli  ambalo ni kubwa la kwanza  Afrika Mashariki na Kati, ile hadidhi ya kusikitisha  ya Mheshimiwa  Marehemu Magufuli ya kushindwa kuvuka na mtumbwi kupeleka Posa ndio iliyomfanya aone umuhimu  ujenzi wa daraja hili ili kuokoa maisha ya watu waliokuwa wakipoteza maisha kwa kuzama na boti, pia kupoteza muda leo tumetimiza adhmma yake" amesema Rais

Mheshimiwa Rais amesema ujenzi wa daraja umekamilika na lengo limekamilika wananchi na wafanya biashara wote tutanufaika na daraja hili.
Amesisitiza kuwa daraja hili limekuwa fursa kwa wote walioshiriki ujenzi wa daraja hilo pia amewapongeza wote walioshiriki ujenzi huo.

Mheshimiwa Rais amewaasa vijana wote walioshiriki ujenzi na watumiaji wote kutumia vizuri na kulienzi daraja hilo na kuongeza uzalishaji wa mazao ya chakula na biashara ili kukuza biashara na Nchi jirani kama Burundi, Rwanda na wengine.

Amevitaka vyombo vya ulinzi na usalama kujipanga kulinda daraja hilo kwani litatumika kwa watu mbalimbali wa Afrika mashariki hivyo usalama unatakiwa uwe wa uhakika.

Akitoa taarifa ya utekelezaji wa mradi huo waziri wa Ujenzi Abdalah Ulega amesema jumla ya bilioni 718  zimetumika kujenga daraja hilo lenye hadhi kubwa

" kukamilika kwa daraja hili kunaenda kurahisisha usafiri na hivyo kuchochea na kukuza biashara, pia wakulima,wavuvi, wafugaji sote tutanufaika na daraja hili, tunakushukuru Mheshimiwa Rais kwa kusimamia na kukamilisha daraja hili"  amesema Ulega

Wananchi wameipongeza Serikali kwa ujenzi wa daraja hilo kwani itasaidia kuondoa na  kupunguza upotevu wa muda uliokuwa unatumika kuvuka katika vivuko vya kigongo - busisi

" nitumie nafasi hii kuipongeza Serikali kwanza kwa kujenga daraja hili llenye hadhi ya nyota tano lakini hili daraja litatusaidia kuondoa changamoto ya kupoteza muda sasa ni dakika nne tu kuvuka" Belnad Dott

Matangazo

  • MAKALA YA JUNI 2025 July 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • DC LUDIGIJA AHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA KUPIGA KURA SIKU YA UCHAGUZI MKUU 2025

    October 02, 2025
  • KIONGOZI MWENGE WA UHURU AIPONGEZA KWIMBA KUONGEZA WIGO UKUSANYAJI MAPATO

    August 28, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KWIMBA UKITOKEA MAGU

    August 28, 2025
  • DED MKOGA ASISITIZA WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI KUTOFICHWA

    August 21, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.