• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kwimba District Council
Kwimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Orodha ya viongozi
      • Orodha ya wenyeviti wa Halmashauri
      • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Orodha ya wakurugenzi
    • Muundo wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Taka na Usafi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • TEHAMA
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
      • Elimu
    • Elimu
    • Mkataba wa Hduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Habari
  • Machapisho
    • Fomu
  • Investment Opportunity
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika

RC MTANDA AHIMIZA UTUNZAJI WA MIUNDOMBINU YA MAJI

Posted on: July 28th, 2025



Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda  amewataka Wananchi kutunza miundombinu ya maji ili kujihakikishia upatikanaji wa maji safi na salama,pia amewataka RUWASA  kuwashirikisha wananchi katika kupanga bei za maji ili kuwajengea umiliki wa miradi

Ameyasema hayo leo 28,Julai 2025 wakati akikagua utekelezaji wa miradi yamaendeleo ikiwemo mradi wa ujenzi wa tenki la Maji katika Kijiji cha Maligisu ambapo mradi umefikia asilimia 90 ya ukamilishaji.Mtanda amewahamasisha wananchi kuvuta maji katika nyumba zao ili kunufaika na mradi huo.

Mkuu huyo  amekagua maendeleo ya ujenzi wa bweni katika shule ya sekondari Ngudu,ujenzi wa vyumba vya biashara soko la zamani Ngudu,ujenzi wa nyumba za wakuu wa Idara wa Halmashauri na ujenzi wa daraja ambapo amewaelekeza wasimamizi wa miradi hiyo kuongeza kasi ili miradi ikamilike kwa wakati na ianze kutoa huduma.

Katika ziara hiyo Mkuu  wa Mkoa amekagua matumizi ya nishati safi ya kupikia katika Shule ya Sekondari Ngudu  ambapo amewapongeza kwa hatua hiyo  ambayo awali kabla ya matumizi ya nishati safi walitumia 2,700,000 kwa mwezi kwa matumizi ya kuni lakini baada ya kuanza kutumia nishati safi wanatumia gharama ya 1,600,000 ambapo wameweza kupunguza ghalama za matumizi ya nishati.

Baada ya kukagua mradi huo Mheshimiwa Mtanda amemuelekeza Afisa Elimu Mkoa wa Mwanza kuhakikisha shule zote za bweni wanaanza  kutumia nishati safi ya kupikia ili kutunza mazingira na kupunguza ghalama za uendeshaji wa shule

" kama hapa Ngudu sekondari wameweza na shule nyingine waanze kutumia nishati safi,kwanza itasaidia kutunza mazingira na kupunguza kukata miti ovyo" Mtanda

Matangazo

  • MAKALA YA JUNI 2025 July 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 07, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI February 20, 2025
  • TANGAZO LA MNADA April 02, 2025
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • DC LUDIGIJA AHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA KUPIGA KURA SIKU YA UCHAGUZI MKUU 2025

    October 02, 2025
  • KIONGOZI MWENGE WA UHURU AIPONGEZA KWIMBA KUONGEZA WIGO UKUSANYAJI MAPATO

    August 28, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KWIMBA UKITOKEA MAGU

    August 28, 2025
  • DED MKOGA ASISITIZA WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI KUTOFICHWA

    August 21, 2025
  • Onyesha zote

Video

ZIARA YA MHESHIMIWA DC TARAFA YA MWAMASHIMBA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2016
  • Orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi
  • Orodha ya Madaktari waliojariwa April 2017
  • Ajira mpya za walimu wa Hisabati na Sayansi 2016/2017
  • Matokeo ya Kumaliza Kidato cha Sita na Ualimu 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Tovuti ya ofisi ya Rais utumishi wa umma
  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza
  • Tovuti ya ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Tume ya Maadili

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Mawasiliano

    Ngudu-Kwimba

    Sanduku la Posta: P.O.BOX 88

    Namba ya Simu: 0732 980528

    Simu ya Kiganjani: 0732980528

    Barua Pepe: ded@kwimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma zetu

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.